• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

RC MWASSA ASISITIZA UBORA KATIKA UTEKEKEZAJI WA MIRADI

Imewekwa : June 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwassa ameeleza kuwa kupitia TARURA, Mkoa wa Kagera unahudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya kilometa 8,369 huku akisisitiza matokeo bora katika utekelezaji wa miradi ya hiyo na ushirikishwaji wa wananchi ili kujua vipaumbele vyao kabla ya utekelezaji wa miradi

Amesema hayo katika kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika leo, tarehe 10, Juni, 2023 katika ukumbi wa ofisi yake na kueleza kuwa watendaji wa Serikali wapo kwaajili ya kusimamia watu hivyo ni vema kutekeleza na kutatua changamoto za wananchi ili kuwaondolea kero wananchi. Huku akisihi kuzingatia ubora na viwango stahiki vya utekelezaji wa miradi hiyo.

“Tunataka ubora,tunafanya hii miradi tunawaachia wananchi, sisi leo tupo Kagera kesho tutakuwa mahali pengine, hawa tunaowaacha huku na miradi iliyo chini ya viwango wanabaki kutaabika. Tusikubali uzembe wetu ututafune,” ameeleza Mhe. Mwassa

Ameendelea kueleza kuwa kila miradi inayotekelezwa vifaa kama vifusi, kokoto vitapimwa kwa vipimo vya maabara. Na kuongeza kuwa kupandisha hadhi barabara kuna ambatana na faida na changamoto. Barabara ikishasajiliwa ndipo inapata uhalali wa kuingizwa kwenye bajeti na kupangiwa fedha kwa ajili ya matengenezo mbalimbali.

Ambapo changamoto yake lazima ikidhi vigezo kama upana na urefu hivyo kupelekea kuchukua ardhi za watu binafsi au taasisi katika eneo husika.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, Ndg. Toba Nguvila amewasihi watumishi wakiwemo wataalam wa TARURA na TANROAD kutoa elimu kwa wananchi kabla ya kuanza utekelezaji wa miradi hiyo ili kuondoa changamoto zikiwemo za madai ya fidia pale mradi unapoanza kutekelezwa

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mhe. Kanali Wilson Sakulo ameeleza kuwa barabara ni fursa wananchi wanapopelekewa barabara ni fursa ya maendeleo hivyo ni vema kupitia vikao vya Waheshimiwa Madiwani elimu itolewe ili watu wafahamu juu ya fursa hiyo.Na kusisitiza juu ya barabara za ulinzi kwa kutoa mfano katika Wilaya ya Missenyi, barabara ya kutoka Kakunyu kwenda jiwe namba 27 ili kufika eneo la namba 27 mpaka wa Tanzania na Uganda unapita Nchi ya Uganda,hivyo kuwasihi TANROAD kutekeleza barabara hiyo

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa