• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mawasiliano Serikalini

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

GOVERNMENT COMMUNICATION UNITY- (GCU)

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (GCU) katika Sekretarieti za Mikoa kilianzishwa rasmi baada ya marekebisho ya muundo mpya wa Sekretarieti za mikoa ulioidhinishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Januari 29, 2022 na kuanza kutumika rasmi Julai, 2022.

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (GCU) majukumu yake kwa kuzingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 Sura ya Kwanza Sehemu ya tatu ibara ya 18 (d) inayosema:

“Kila mtu anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia kuhusu masuala muhim kwa jamii”.

 

MUUNDO:

Kimuundo, katika Sekretarieti ya Mkoa, kitengo hiki kinahitaji kuwa na watumishi watatu (3) wa taaluma ya Habari na kinatakiwa kuongozwa na Afisa mwenye cheo cha Afisa Habari Mkuu.

Lengo la Kitengo: Lengo kuu la kitengo ni kushauri kitaalamu Wajumbe wa Sekretarieti ya Mkoa (Menejimenti) kuhusu masuala yote yanayohusu Habari na Mawasiliano.


Majukumu ya Kitengo:

  1. Kuandaa nyaraka mbalimbali kama vile vipeperushi, majarida na Makala na kuutarifu umma juu ya shughuli zinazotekelezwa na Serikali ndani ya Mkoa wa Kagera.
  2. Kuratibu maandalizi ya Mikutano ya Mkuu wa Mkoa na waandishi wa Habari (Press Conference) itakayokuwa inafanywa na Mkuu wa Mkoa.
  3. Kuhuisha taarifa mbalimbali katika tovuti ya Sekretarieti za Mikoa wa Kagera ambayo ni www.kagera.go.tz.
  4. Kushiriki midahalo inayoandaliwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali zinazofanyika katika Sekretarieti ya mkoa wa Kagera.
  5. Kutoa taarifa mbalimbali juu ya maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kijamii zilizopo ndani ya Mkoa.
  6. Kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo katika kutoa taarifa juu ya maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kijamii zilizopo ndani ya Mkoa.

Kaimu Mkuu wa Kitengo:

Bw. Sylvester M. Raphael,

Afisa Habari Mwandamizi,

Sekretarieti ya Mkoa wa Kagera,

S. L. P 299 Bukoba – Tanzania.

Mobile: +255784350588/0767350588

E-Mail: Sylvester.raphael@kagera.go.tz

            sylvesterraphael@gmail.com

Website: www.kagera.go.tz

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 23.8

    September 07, 2025
  • Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 23.8

    September 07, 2025
  • Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Kagera Yafungu Dawati Maalu la Uwezeshaji Wafanyabiashara

    September 03, 2025
  • Nsekela Stadium Yazinduliwa Rasmi Kyerwa - Kagera

    August 29, 2025
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa