• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Investments

UWEKEZAJI KATIKA MKOA WA KAGERA

Mkoa wa Kagera umekuwa na mikakati mbalimbali ya kuvutia wawekazaji kwa kushirikisha wadau mbalimbali wa maendeleo pamoja na Halmashauri za Wilaya. Mkoa umekuwa na wawekezaji mbalimbali wa ndani na nje ya nchi ingawaje uwekezaji huu unaendelea kufanyika kwa kiwango kidogo cha asilimia 5% hadi mwaka 2014

Dhana ya wananchi wengi katika uwekezaji hufikiria zaidi uwekezaji kutoka nje ya nchi badala ya wananchi wenyewe na pia hufikiria uwekezaji hufanywa na Serikali pekee. Ni wazi kuwa uwekezaji hauwezi kuendeshwa na uchumi wa Serikali na wala hakuna uchumi wa nchi yoyote unaoweza kukua kwa kutegemea uwekezaji wa umma bila kushirikisha wawekezaji binafsi. Sekta zote mbili zinabidi zishirikiane kwa pamoja kwa manufaa ya jamii.

MAENEO YA UWEKEZAJI

Wilaya zimeainisha maeneo takribani hekta 28,783 kwa ajili ya uwekezaji katika kilimo cha umwagiliaji na ujenzi wa viwanda vya kusindika mazao ya kilimo (Agro Processing Industries) ili kuongeza thamani ya mazao pamoja na uwekezaji wa biashara ndogo. Mengi ya maeneo haya bado hayajapimwa na kumilikiwa na Halmashauri zenyewe.

Fursa za Uwekezaji

Mkoa wa Kagera unazo fursa nyingi na muhimu kwa ajili ya kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Uwekezaji unaweza kufanywa katika sekta za kilimo, viwanda, utalii, uvuvi, ufugaji na maliasili. Mkoa unayo maeneo mengi ya uwekezaji kama yalivyoainishwa hapo juu, hali ya hewa nzuri pamoja na fursa ya kijiografia ya Mkoa wa Kagera kupakana na nchi za Jumuiya ya Af rika Mashariki (Rwanda, Burundi na Uganda). Hata hivyo fursa hizo bado hazijatumika ipasavyo kutokana na hali ya uwekezaji Mkoani kuwa bado katika kiwango cha chini. Mkoa wa Kagera ni miongoni mwa mikoa 10 ya Tanzania bara ambayo uwekezaji wake uko chini ya asilimia moja (1%).

• Kutokana na uzalishaji mkubwa wa ndizi kiasi cha wastani wa tani milioni 1.4 kwa mwaka, tani 15,000 za mpunga, tani 250,000 za mahindi, tani 106,000 za maharage na tani 830,000 za mihongo; ipo fursa kubwa ya kuanzisha viwanda vya usindikaji na uongezaji thamani mazao haya ya kilimo.

• Mkoa unayo fursa ya kuanzisha mashamba makubwa ya mahindi na mpunga katika bonde la mto Nkenge na Mto ngono wilayani Missenyi kwa ajili ya uzalishaji utakaokidhi mahitaji makubwa ya chakula katika soko la Afrika Mashariki na Kati.

• Mkoa unayo fursa ya uwekezaji katika unenepeshaji wa mifugo kama ng'ombe, mbuzi na kondoo kutokana na maeneo ya malisho yaliyopo katika huria (ranches) za Kikulula, Missenyi,      Kagoma, Mabale na Kitengule zenye ukubwa wa jumla ya Hekta 136,028.

• Uwekezaji katika viwanda vya kusindika nyama, ng'ozi na bidhaa zake kutokana na uwepo wa idadi kubwa ya mifugo; ng'ombe 520,000, mbuzi 580,000, kondoo katika wilaya za Ngara, Bukoba, Karagwe, Biharamulo, Muleba na Missenyi.

• Fursa ya uwekezaji katika ujenzi wa viwanda vya kusindika asali, uongezaji thamani asali na a mazao yake pamoja na viwanda vya kutengeneza vipodozi na madawa kutokana na matumizi ya asali.

• Uwekezaji katika ujenzi wa hoteli za kitalii, camping sites, kumbi za mikutano, na vivutio mbalimbali vya utalii.

• Kwa kuwa Mkoa umepataka na nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na Kenya kwa upande wa ziwa Victoria kuna fursa ya ujenzi wa Vituo vya kubadirishia fedha (Beural De Change) kwa kuwa hadi 2014 hakuna kituo rasmi kilichoanzishwa.

• Uwekezaji katika sekta ya usafiri na usafirishaji kwa njia ya maji na ujenzi wa bandari ya kisasa katika visiwa vya Bumbile and Karebe Bukoba, Muleba na Missenyi.

• Uwekezaji katika ujenzi wa nyumba za kuishi za kisasa na majengo ya kibiashara katika maeneo ya Bukoba Manispaa, Missenyi (Mutukula) na Muleba kutokana na viwanja vipatavyo 7,000 vilivyopo ambavyo vimepimwa katika maeneo hayo.

Maeneo ya uwekezaji

Mkoa kwa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa zimeainisha na kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya uwekezaji yenye ukubwa wa hekta 16,000.

Bonyeza hapa upate maeneo ya uwekezaji mkoani Kagera

UWEKEZAJI KISEKTA

Mkoa wa Kagera una Viwanda vikubwa saba (7) ambavyo ni Bukop Ltd, TANICA, Kagera Tea Company, Kagera Sugar Company, Amir Hamza (T) Ltd, Kagera Fish Company na Vic Fish Company. Kutokana na serikali kubinafsisha Viwanda viwili vya Kagera Sukari na Kiwanda cha Chai cha Maruku vimendelea kufanya vizuri katika uzalishaji na kuchangia kwa kiasi kikubwa ukuaji wa uchumi wa Mkoa na kuongeza ajira. Pamoja na viwanda hivyo vikubwa kuna viwanda vidogo mfumo wa SIDO vipatavyo 6,844 ambavyo vimeajili zaidi ya watu 80,000.

Uwekezaji katika usafirishaji

Wadau wa maendeleo wamewekeza katika huduma za usafiri na usafirishaji kama ifuatavyo:

• Usafiri wa anga: Precissionair, Auric Air

• Usafiri wa majini: Marine Services Co. Ltd

• Usafiri wa Barabara: Magari ya abiria na mizigo

Uwekezaji katika mawasiliano: Mawasiliano haya ni pamoja na:

• Mawasiliano ya simu: TTCL, Vodacom, Tigo, Airtel na Zental.

• Mawasiliano ya Radio: Redio Tanzania, Radio Free Africa, Kasibante, Radio Vision, Radio Kwizela, Radio Karagwe na FADECO.

• Mawasiliano ya TV (Luninga): TBC, ITV na Chaneel Ten.

• Mawasiliano ya Mtandao (Internet providers):Yanapatikana katika kila Wilaya kupitia kampuni za Simbanet, TTCL, Vodacom,Tigo na Airtel.

ix) Uwekezaji katika mazao mbadala: Uwekezaji katika kilimo cha maua ni moja ya sekta muhimu kwa maendeleo ya taifa kutokana na kuchangia katika pato la taifa ikiwa ni pamoja na kutoa ajira kwa watu wengi.

Pamoja na uwekezaji huu, bado Mkoa unahamasisha uwekezaji katika maeneo kama vile Kilimo cha kibiashara, ujenzi wa viwanda vya kusindika mazao, huduma za kijamii zikiwemo ujenzi wa shule za sekondari na vyuo vya elimu ya juu na ufundi, zahanati na Hospitali na uzalishaji umeme.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.