• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Finance and Accounts


CPA Pius Lazaro Mwakimenya 

Mhasibu Mkuu wa Mkoa


MAJUKUMU YA KITENGO CHA FEDHA NA UHASIBU NA JINSI KINAVYOTEKELEZA MAJUKUMU YAKE

Kitengo cha Fedha na Uhasibu katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera kinatekeleza Majukumu Makuu matano. Majukumu hayo matano yameainishwa na kufafanuliwa jinsi yanavyotekelezwa na Wataalam waliopo kwenye Kitengo cha Uhasibu na Fedha kama ifuatavyo:

Usimamizi wa Fedha:

Katika Usimamizi wa Fedha kitengo cha Fedha na Uhasibu kinawajibika kuandaa na kuidhinisha malipo mbalimba ya shughuli za kila siku za uendeshaji wa ofisi pamoja na shughuli za kutoa huduma kwa wananchi wa Mkoa wa Kagera. Aidha, kitengo hiki kinawajibika katika kuandaa na kuidhinisha malipo ya Mishahara ya Watumishi, kuwezesha makato mbalimbali yanayokubalika kisheria kutoka kwenye mishahara ya watumishi na kuyawasilisha kwenye mamlaka zinazohusika na makato hayo. Pia kutunza orodha na nyaraka za Watumishi wanaolipwa mishahara kwa ajili ya kumbukumbu za baadae.

Kuwezesha Malipo:

Katika Kitengo cha Fedha na Uhasibu tunawezesha malipo mbalimbali ya fedha kwa njia za kisasa ambazo ni za mtandao (yaani malipo yanafanyika kwa njia ya intaneti) ili kuondoa urasmu wa kuchelewesha malipo na kupelekea kukwamisha shughuli mbalimbali za Serikali, au kukwamisha malipo mbalimbali ya watumishi na malipo ya watoa huduma  wanaotoa huduma mbalimbali katika Serikali. Pia Kitengo kinawajibika kutunza daftari la hesabu kwa ajili ya kumbukumbu za kimahesabu, Kupeleka benki fedha taslimu na hundi benki.

Hesabu za Mwisho wa Mwaka:

Kitengo cha Fedha na Uhasibu kinawajibika kutayarisha Makadirio ya Bajeti na kudhibiti matumizi ya fedha pia  kuandaa taarifa ya matumizi ya robo mwaka, nusu mwaka na mwaka mzima kwa ajili ya kuiwasilisha kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali. Kuandaa taarifa ya hesabu za mwisho wa mwaka na kuziwasilisha kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali. Aidha, Kujibu hoja zote za ukaguzi na maoni ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pale anapokuwa amefanya ukaguzi wa fedha katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Ukusanyaji Mapato:

Kitengo cha Fedha na Uhasibu pia kinawajibika katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ya Serikali kwa mujibu wa sheria na miongozo kwa baadhi ya mali za Serikali zinazosimamiwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera na mali hizo ni nyumba zinazomilikiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera.

Ukaguzi wa Awali:

Kitengo cha Fedha na Uhasibu katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera kinatekekeleza majukumu yake kwa weledi na kuzingatia sheria, kanuni na  na miongozo ya fedha ambapo kabla ya malipo hufanyika uhakiki wa nyaraka za malipo kuona kama nyaraka hizo zimezingatia taratibu za malipo ikiwa ni pamoja na kuidhinishwa. Aidha, kuhakikisha malipo yanayofanyika hayavuki bajeti ya kasma husika.

“Kagera: Kazi, Amani na Maendeleo”


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.