• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Huduma za Kilimo

HALI YA HEWA 

Hali ya hewa ya Mkoa wa Kagera kwa ujumla ni ya joto la wastani wa 26.02 sentigredi. Mvua zinanyesha kwa wastani wa milimita 600 – 2,000 kwa mwaka kati ya mwezi Septemba na Januari na kati ya mwezi Machi na Mei. Mvua hizi ndizo zinazowezesha kuwepo kwa uoto wa asili wa kuvutia katika maeneo mengi ya Mkoa. Kwa miaka ya kawaida Mkoa hupata mvua za uhakika za vuli na masika ambazo ni muhimu kwa shughuli za kilimo na ufugajiA

Kanda za Ikolojia (Ecological Zones)

Mkoa wa Kagera umegawanyika katika kanda tano (5) za kilimo kuzingatia mwinuko wa maeneo hayo kutoka usawa wa bahari na kiwango cha unyeshaji wa mvua.


(a)   Ukanda wa Kwanza

Ukanda huu unajumuisha maeneo ya Mashariki ya Wilaya za Bukoba na Muleba yanayo ambaa kando kando ya Ziwa Victoria na uko katika mwinuko wa mita 1,300 mpaka 1,500 kutoka usawa wa bahari. Mvua katika ukanda huu zinanyesha kwa wastani wa milimita 800 - 1,750 kwa mwaka. Shughuli kuu za kiuchumi katika eneo hili ni kilimo cha ndizi, maharagwe, mahindi, kahawa, uvuvi na ufugaji. Eneo la ukanda huu ni asilimia 17 ya eneo la mkoa.

 

(b)   Ukanda wa Pili

Huu ni ukanda wa juu ulioko kwenye mwinuko wa mita 1,400 mpaka 1,800 kutoka usawa wa bahari. Ukanda huu unajumuisha maeneo ya juu ya Wilaya ya Karagwe, Kyerwa na Ngara na mvua zinanyesha kwa wastani wa milimita 800 - 1,000 kwa mwaka. Mazao yanayolimwa kwenye ukanda huu ni migomba, maharagwe, mahindi, kahawa n.k. Eneo la ukanda huu ni asilimia 19 ya eneo la Mkoa.

 

(c)   Ukanda wa Tatu

Ukanda huu uko katika mwinuko wa mita 1,000 kutoka usawa wa bahari na unajumuisha Wilaya ya Biharamulo. Mvua zinanyesha kwa wastani wa milimita 750 - 800 kwa mwaka. Shughuli kuu za kiuchumi ni uzalishaji wa mazao ya mahindi, mihogo, mpunga, mtama, karanga, tumbaku na pamba. Eneo la ukanda huu ni asilimia 27 ya eneo la Mkoa.

 

(d)   Ukanda wa Nne 

Ukanda huu upo kwenye mwinuko wa mita 1,000 kutoka usawa wa bahari na unajumuisha maeneo ya Mashariki ya Wilaya ya Karagwe, Wilaya ya Missenyi na maeneo ya Magharibi ya Wilaya ya Bukoba. Mvua za ukanda huu zinanyesha kwa wastani wa milimita 800 - 1,000 kwa mwaka. Shughuli kuu za kiuchumi ni kilimo cha mazao ya mahindi, maharagwe, miwa na ufugaji. Eneo la ukanda huu ni asilimia 10 ya eneo lote la Mkoa.

 

(e)   Ukanda wa Tano 

Ukanda huu unajumuisha maeneo ya Kaskazini ya Wilaya ya Karagwe na Missenyi na uko kwenye mwinuko wa mita 1,000 kutoka usawa wa bahari ukanda huu unapata mvua za wastani wa milimita 750 - 800 kwa mwaka. Sehemu kubwa ya ukanda huu ni misitu ya hifadhi na mapori ya akiba. Eneo la ukanda huu ni asilimia 27 ya eneo lote la Mkoa.

Utoshelevu wa Chakula

Mahitaji ya chakula kwa mkoa wa Kagera ni tani 842,936 (wanga tani 771,239 protein tani 71,697) kwa mwaka. Kwa miaka minne mfululizo uzalishaji wa mazao ya chakula ulikuwa kati ya tani 3,000,000 hadi tani 3,359,276. Hivyo kumekuwa na utoshelevu wa zaidi ya 255% - 300% ambapo ziada inauzwa nje ya mkoa na nje ya nchi. 

Maendeleo ya Zao la Kahawa

Uzalishaji katika zao la kahawa kwa miaka minne ni tani 387,464.64 kuanzia msimu wa mwaka 2020/21 hadi msimu wa mwaka 2023/2024 aidha bei imeongezeka kutoka wastani wa Tsh. 1100  hadi kufikia Tsh. 6153 eongezeko la bei 82%.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.