• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Primary Education

TAASISI ZA ELIMU ZILIZOPO

Mkoa wa Kagera una jumla ya shule za msingi 1,030 kati ya hizo za serikali ni 938 na 92 ni shule zisizo za Serikali.  Shule hizo zina jumla ya wanafunzi 712,602 wakiwemo wavulana 355,195 na wasichana 357,407 Aidha, yapo pia madarasa 927ya Elimu ya Awali yenye jumla ya wanafunzi 78,175 wakiwemo wavulana 39,616 na wasichana 38,559 kama ilivyo katika jedwali Na. 52

  Idadi ya Shule za Msingi na Wanafunzi

Halmashauri

Idadi ya Shule

Idadi ya Wanafunzi Serikali

Idadi ya Wanafunzi Binafsi

Serikali

Binafsi

Jumla

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Jumla

Biharamulo

99

6

105

50856

51936

102792

733

711

1444

Bukoba DC

141

13

154

40458

39193

79651

1551

1396

2947

Bukoba MC

27

20

47

11757

11641

23398

3074

3092

6166

Karagwe

114

10

124

40628

41138

81766

1152

1054

2206

Kyerwa

99

8

107

44792

46647

91439

661

540

1201

Misenyi

103

12

115

25648

25289

50937

1429

1261

2690

Muleba

235

15

250

85641

86353

171994

1583

1455

3038

Ngara

120

8

128

44322

44839

89161

910

862

1772

Jumla

938

92

1030

344102

347036

691138

11093

10371

21464

 

HALI YA UANDIKISHAJI WANAFUNZI WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI  2021/2022

 Elimu ya Awali mwaka 2022

Uandikishaji wa wanafunzi wa Elimu ya Awali kwa mwaka 2021/2022, Mkoa umelenga kuandikisha jumla ya watoto 81,827 wakiwemo wavulana 40,973 na wasichana 40,854. Hadi kufikia tarehe 31 Machi, 2022 mkoa umeandikisha jumla ya watoto 95,177 sawa na 116.3% wakiwemo wavulana 48,388 na wasichana 46,789.

Uandikishaji Elimu ya Awali 2022

Halmashauri

Maoteo

Walioandikishwa            (Wasio Wa Mahitaji Maalum)

Walioandikishwa (Mahitaji Maalum)

Jumla Walioandikishwa

Asilimia ya Uandikishaji

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Jml

Wav

Was

Jumla

Wv

Ws

Jml

BUKOBA MC
2019
2008
4027
1650
1640
3290
11
9
20
1661
1649
3310
82.3
82.1
82.2
KYERWA
 5,207
 5,325
 10,532
6,492
6,514
13,006
7
5
12
6,499
6,519
13,018
124.8
122.4
123.6
NGARA DC
5844
5735
11579
6746
6645
13391
3
5
8
6749
6650
13399
115.5
116.0
115.7
Bukoba
 4,651
 4,530
 9,181
5,872
5,287
11,159
12
14
26
5,884
5,301
11,185
126.5
117.0
121.8
BIHARAMULO
6656
6753
13409
7806
7874
15680
56
35
91
7862
7909
15771
118.1
117.1
117.6
MISSENYI
 3,235
 3,229
 6,464
3657
3578
7,235
1
3
4
3,658
3,581
7,239
113.1
110.9
112.0
MULEBA
 9,834
 9,800
 19,634
10,656
9,917
20,573
9
6
15
10,665
9,923
20,588
108.5
101.3
104.9
KARAGWE
 3,527
 3,474
 7,001
 5,406
 5,250
 10,656
 4
 7
 11
 5,410
 5,257
 10,667
153.4
151.3
152.4
JUMLA KUU
40973
40854
81827
48285
46705
94990
103
84
187
48388
46789
95177
118.1
114.5
116.3


ELIMU YA MSINGI

Kwa Mwaka 2021/2022 Mkoa ulikuwa na malengo ya kuandikisha jumla ya watoto 82,606 wakiwemo wavulana 41,034na wasichana 41,572 kwa ajili ya kujiunga na darasa la kwanza mwaka 2022. Hadi kufikia 31 Machi, 2022 wanafunzi 89,388 sawa na 108.25%.

Uandikishaji Darasa la Kwanza 2022

Halmashauri

Maoteo 2022

Walioandikishwa (wasio wa mahitaji maalum)

Walioandikishwa (mahitaji maalum)

Jumla walioandikishwa

Asilimia ya uandikishaji (%)

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Jumla

Wav

Was

Juml

BUKOBA MC
2100
2102
4202
2100
2165
4265
17
13
30
2117
2178
4295
100.8
103.6
102.21
KYERWA
 5,567
 5,373
10,940
 5,940
 5,967
 11,907
12
5
17
5,952
5,972
11,924
106.9
111.1
108.99
NGARA DC
5422
5719
11141
5784
5914
11698
5
1
6
5792
5919
11710
106.8
103.5
105.10
Bukoba
 4,194
 4,059
8,253
4,601
4,605
9,206
16
11
27
4,617
4,616
9,233
110.1
113.7
111.87
BIHARAMULO
8218
8774
16992
9003
9014
18017
23
17
40
9026
9031
18057
109.8
102.9
106.29
MISSENYI
 3,028
 2,911
5,939
 3,528
 3,446
 6,974
4
1
5
 3,532
 3,447
 6,979
116.6
118.4
117.51
 MULEBA
 8,592
 8,682
17,274
8366
8,578
16,850
8
9
17
8,374
8,587
16,961
97.5
98.9
98.18
KARAGWE
 3,913
 3,952
7,865
 5,030
 5,177
 10,207
 13
 9
 22
 5,043
 5,186
 10,229
128.9
131.2
130.05
JUMLA KUU
41,034
41,572
82,606
44352
44866
89124
98
66
164
44453
44936
89388
108.3
108.1
108.25

 

HALI YA MIUNDOMBINU NA SAMANI KWA SHULE ZA MSINGI MWAKA 2022

Elimu Msingi

Kwa mwaka 2021 Mkoa wa Kagera unahitaji vyumba vya madarasa 15,840 kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi. Vyumba vilivyopo ni 7,014 na upungufu ni vyumba 8,826.

Nyumba za walimu: Mkoa unahitaji jumla ya nyumba za walimu 14,822 ambapo nyumba zilizopo ni 1,982 na upungufu ni 12,840.

Madawati: Mkoa unahitaji madawati 215,113 yaliyopo ni 188,469 upungufu 26,644

Matundu ya vyoo: Mkoa unahitaji matundu ya vyoo 29,313 yaliyopo ni matundu 10,506 upungufu ni 18,807

 Mahitaji ya Miundombinu na Samani za Msingi.

Halmashauri

Madarasa

Nyumba

Vyoo

Madawati

Mahitaji

Vilivyopo

Upungufu

Mahitaji

Vilivyopo

Upungufu

Mahitaji

Vilivyopo

Upungufu

Mahitaji

Vilivyopo

Upungufu

Biharamulo

2339

689

1650

1184

215

969

4326

1225

3101

29,530

15,519

14,011

Bukoba MC

545

251

294

407

21

386

948

459

489

33,361

29,699

3,662

Bukoba DC

2313

1080

1233

2313

238

2075

3578

1509

2069

8,527

8,126

612

Karagwe

1847

920

927

1781

277

1504

3277

1455

1822

24,050

22,355

1,695

Kyerwa

2223

741

1482

2157

181

1976

4265

1319

2946

26,897

24,392

2,405

Missenyi

1,197

759

438

1080

204

876

2467

1188

1279

16,750

19,632

2,882

Muleba

3,344

1642

1,702

4148

290

3858

6697

2051

4646

50,135

49,384

751

Ngara

2032

932

1100

1752

556

1496

3755

1300

2455

25,863

19,362

6,501

Jumla

15,840

7014

8,826

14822

1982

13140

29313

10506

18807

215,113

188,469

26,755


Mahitaji ya Walimu wa Elimu ya Msingi na Sekondari 

Mkoa wa Kagera unahitaji walimu 16,846 kwa shule za Msingi waliopo ni walimu 9,239 upungufu ni walimu 7,607. Kwa upande wa shule za Sekondari, Mkoa unahitaji walimu 5,240 waliopo ni walimu 3,910 pungufu ni walimu 1,330. Aidha, Mwezi Julai 2022, Mkoa umepokea walimu wapya 640 kati yao 351ni wa shule za Msingi na 289 wa shule za Sekondari. Mchanganuo wa mahitaji ya walimu kwa kila Halmashari ni kama ifuatavyo:-

 Mahitaji ya Walimu wa Msingi na Sekondari

Na

Hamashauri

Elimu Msingi

Walimu Sekondari

Mahitaji

Waliopo

Pungufu

Mahitaji

Waliopo

Pungufu

1

Biharamulo

2182

1168

1014

705

457

248

2

Bukoba Dc

2334

1129

1205

689

476

213

3

Bukoba Mc

609

471

138

562

503

59

4

Missenyi

1266

710

556

424

352

72

5

Muleba

3823

2203

1620

920

594

326

6

Karagwe

2297

1276

510

510

462

48

7

Kyerwa

2361

1104

1257

533

324

209

8

Ngara

1974

1178

796

588

414

174

Jumla

16,846

9,239

7,607

4931

3582

1349

 

Walimu Ajira Mpya Walioripoti Januari, 2021

Halmashauri

Msingi Waliopangwa

Sekondari Walipangwa

Jumla Waliopangwa

Msingi Wasioripoti

Sekondari Wasioripoti

Jumla Wasioripoti

Biharamulo

35

24

59

0

0

0

Bukoba DC

28

26

54

1

0

1

Bukoba MC

2

5

7

0

0

0

Missenyi

22

24

46

0

4

4

Muleba

49

41

90

0

0

0

Karagwe

20

19

39

0

0

0

Kyerwa

25

12

37

0

0

0

Ngara

32

24

56

0

0

0

Jumla

213

175

388

1

4

5

 

Jedwali Na. 68: Walimu Ajira Mpya Walioripoti Julai,           2021

Halmashauri

Msingi waliopangwa

Sekondari walipangwa

Jumla waliopangwa

Msingi wasioripoti

Sekondari wasioripoti

Jumla wasioripoti

Biharamulo

3

28

31

1

-

1

Bukoba DC

23

23

46

--

-

-

Bukoba MC

0

9

9

-

-

-

Missenyi

31

29

60

4

1

5

Muleba

27

80

107

-

1

1

Karagwe

11

15

26

1

-

1

Kyerwa

10

19

29

-

1

1

Ngara

24

20

44

2

-

2

Jumla

129

223

352

8

3

11

 

Hali ya Taaluma Elimu ya Msingi na Sekondari

Hali ya Taaluma na ufaulu wa wanafunzi katika Mitihani ya Kitaifa ni ya kuridhisha. Viwango vya ufaulu vimekuwa vikiongezeka, isipokuwa kwa matokeo ya Upimaji wa Darasa la Nne mwaka 2020, matokeo yake yameshuka kwa 1.5% ikilinganishwa na ufaulu wa Mwaka 2019. Mwaka 2019 ufaulu wa wanafunzi wa Darasa la Nne Ulikuwa ni 97.97% ambapo Mkoa ulishika nafasi ya pili kitaifa, Mwaka 2020 ufaulu ulikuwa ni 95.42% na mwaka 2021 ufaulu ulikuwa 87.8%.

Mkoa, umeongeza jitihada za ufuatiliaji na usimamizi madhubuti ili kuinua ufaulu wa wanafunzi wa darasa la nne ambao matokeo ya mwaka uliopita yalishuka kwa 2.55% kutoka 97.97% ya mwaka 2019 hadi 95.42% mwaka 2020. Kwa matokeo ya darasa la saba kiwango cha ufaulu wa wanafunzi kimeongezeka mwaka 2020 ilinganishwa na ufaulu wa mwaka 2019. Mwaka 2019 ufaulu wa wanafunzi hao ulikuwa ni 88% ambapo mwaka 2020 ufaulu ulikuwa ni 88.28% hivyo kuwepo kwa ongezeko la 0.28% za ufaulu zaidi ya Mwaka 2019. Kwa mwaka 2021 ufaulu ulikuwa 82.74%

Kwa upande wa matokeo ya kidato cha pili, kidato cha nne na sita, ufaulu umeongezeka mwaka 2020 ikilinganishwa na kiwango cha ufaulu mwaka 2019. Hivyo, kuwepo kwa ongezeko la ufaulu wa wanafunzi kwa 3% zaidi ikilinganishwa na ufaulu wa 89% mwaka 2019. Katika matokeo hayo, Halmashauri ya Ngara ilishika nafasi ya tatu kitaifa. 

Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2020 nayo kiwango chake cha ufaulu kimeongezeka kutoka 88.27% hadi 90.33 hivyo kuwepo kwa ongezeko la ufaulu kwa 2.06%.

Mtihani wa kuhitimu kidato cha sita, ufaulu wa wanafunzi katika mitihani hiyo ni cha kuridhisha upo kwa kiwango cha 99% kila mwaka.  Kwa mwaka 2021 ufaulu ulikuwa 99.67% na Mwaka huu 2020 ufaulu ni 100%.

Malengo ya Kitaaluma

Miongoni mwa malengo ambayo Mkoa na Halmashauri imejiwekea kwa mwaka huu wa 2022/2023 ni pamoja na haya yafuatayo: -

Kuhakikisha kuwa Mitihani/ Upimaji wa darasa la nne, darasa la saba na kidato cha pili, wanafunzi (Watahiniwa) watakaosajiliwa kufanya Mitihani hiyo wote wanafaulu kwa 100%.

Kuhakikisha kuwa watahiniwa wa kidato cha nne wanafaulu kwa kiwango cha daraja la I-III kwa 80%.

Kuhakikisha wanafunzi wa kidato cha sita wote wanafaulu kwa 100% kwa kiwango cha daraja la I – III

 

Mikakati ya Kuinua Taaluma kwa Mwaka 2021/2022

Mkoa unahimiza uwajibikaji kwa walimu na watendaji wa elimu katika ngazi zote za shule/ Kata na Halmashauri.(Mihtasari ya masomo).

Mkoa unaendelea kukisisitiza walimu kukamilisha mada za masomo kwa wakati na kufanya mrejeo wa mada ngumu kwa wanafunzi.

Kufanya mazoezi na majaribio ya mara kwa mara kwa wanafunzi. Majaribio ya kishule, Kata, Halmashauri na majaribio ya Kimkoa kwa lengo la kujenga umahiri kwa wanafunzi.

Uhimizaji wa walimu kuzingatia miongozo ya utunzi wa mitihani inayotelewa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) wakati wa kuandaa majaribio ya kishule, kata, Halmashauri na Mkoa.

Kuzishauri shule, na Halmashauri kutoa motisha kwa shule, walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri.

Kuhimiza wazazi kuchangia chakula cha wanafunzi katika shule za msingi na sekondari.

Kuhakikisha malengo ya kitaaluma ya mkoa yanatekelezwa katika ngazi zote, kwa walimu wa masomo, ngazi ya shule, Kata, Halmashauri na Mkoa.


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.