• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Huduma za Afya



Katika kipindi cha kuanzia 2020 hadi Juni 2024, Mkoa wa Kagera umepokea jumla ya Shilingi Bilioni 54.4 kutoka vyanzo mbalilmbali kwa ajili ya Ujenzi, Ukarabati wa Miundombinu ya huduma za afya na ununuzi wa vifaa tiba.  Ifuatayo ni miradi ya ujenzi iliyotekelezwa:
  • Ujenzi wa Hospitali 8 za Halmashauri,
  • Ujenzi/upanuzi wa vituo vya afya 24,
  • Ujenzi wa zahanati 40
  • Ujenzi wa majengo ua dharura kwenye Halmashauri na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa,
  • Ujenzi wa nyumba tano (27) za watumishi



Ujenzi wa Hospitali za Wilaya

Ujenzi wa Hospitali za Wilaya Katika Halmashauri za Wilaya za Karagwe, Bukoba, Kyerwa, Ngara, Missenyi na Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba zimekamilika na zinatoa huduma. Aidha, ujenzi wa hospitali za Wilaya za Muleba na Biharamulo zipo hatua mbalimbali za ujenzi.

Vituo vya Afya: 

Ujenzi wa vituo vya afya vipya 24 umekamilika katika Halmashauri za Karagwe, Bukoba, Kyerwa, Ngara, Missenyi, Muleba, Biharamulo na Manispaa ya Bukoba umekamilika na vyote vinatoa huduma kwa wananchi wa Mkoa wa Kagera

Zahanati

Ujenzi wa zahanati mpya 40 katika Halmashauri za Karagwe, Bukoba, Kyerwa, Ngara, Missenyi, Muleba, Biharamulo na Manispaa ya Bukoba umekamilika na vyote vinatoa huduma kwa wananchi wa Mkoa wa Kagera. Aidha, kukamilika kwa vituo hivi kumeimasha utoa wa huduma za afya ikiwa ni pamoja na huduma ya upasuaji kwa akina mama wajawazito wanaohitaji huduma hiyo.

Mkakati wa Mkoa kukabiliana na magojwa ya mlipuko

Mkoa una mikakati ya kukabiliana magojwa ya mlipuko hasa ukizingatia Mkoa wetu upo mpakani. Kwa kipindi cha miaka minne Mkoa umejenga vituo kumi na mbili (12) (isolation wards) ya kuwahudumia wagonjwa wanaohisiwa kuwa na magonjwa hayo wakati uchunguzi ukufanyika. Adha, Mkoa umetoa mafunzo maalumu kwa watumishi 155 wa afya kwa ajili ya kutoa huduma pindi magonjwa ya mlipuko yanapotokea.

Mafanikio mengine ya Huduma za Afya ndani ya Mkoa kwa Kipindi miaka minne yaani kuanzaia 2020 hadi 2024 ni kama ifuatavyo.

  • Kuongezeka kwa vituo vya kutolea huduma za Afya kutoka 286 kwa mwaka 2020 hadi 340 kwa mwaka 2024
  • Kupunguza vifo vya akina mama vitokanavyo na uzazi kutoka vifo 55 mwaka 2020 hadi vifo 25 mwaka 2024. Hili linachangiwa na usimamizi wa utekelezaji wa miongozi inayotolewa na serikali, kuboresha huduma na mafunzo mbalimbali kwa watoa huduma
  • Kupunguza  vifo  vya  watoto  wachanga  kutoka  vifo  419 vya mwaka 2020 hadi vifo 220 kwa kwa mwaka 2024.
  • Mkoa umepokea Magari 09 kwa kipindi cha miaka minne na kufanya Mkoa kuwa na jumla ya magari 37 ya kubebea wagonjwa kutoka magari 28 mwaka 2020.
  • Upatikanaji wa dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya umefikia asilimia 90



LENGO LA HUDUMA ZA AFYA MKOANI KAGERA

Lengo la Huduma za Afya Mkoani Kagera ni kuwezesha utoaji wa Afya ya Kinga, Tiba, Maendeleo ya Afya na Ustawi wa Jamii kwenye Mkoa. Aidha, Mkoa unafanya kazi ya kuratibu na kushauri juu utekelezaji wa Sera ya Afya kwenye Mkoa 






Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa