• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Viongozi wa Ngara





Col.Mathias Julius Kahabi


Mkuu wa Wilaya ya Ngara


WASIFU WA MKUU WA WILAYA YA NGARA LT. COL. MICHAEL MANGWELA MNTENJELE

Na.

 Aina ya Taarifa
 Maelezo

1.

 Jina Kamili na 
 Utambulisho
 Lt. Col. Michael Mangwela Mntenjele

2.

 Tarehe ya Kuzaliwa
 Mei 25, 1967

3.

 Elimu au Mafunzo
 Jina la Shule/Chuo

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

Kiwango (Mfano Cheti/Shahada)

i

 Bachelor of Education
 {BA (Ed)}
 Chuo Kikuu cha  
 Dar es  Salaam

1992

1996

Shahada

ii

 Diploma in Education
 Chuo cha Ualimu Korogwe

1987

1990

Diploma

iii

 Elimu ya Sekondari
 Shule ya Sekondari
 Bihawana

1983

1986

Cheti

iv

 Elimu ya Msingi
 Shule ya Msingi Zejele

1976

1982

Cheti

4.

 Mafunzo Mengine

Jina la Mafunzo

Lini

Wapi

i

 Mafunzo ya Kijeshi
 (CGSC)
 Command and General Staff Course

2014

Fort Leavnworth Kansas -USA

ii

 Mafunzo ya Kijeshi
 (J/CSC)
 Junior Command and Staff Course

2011

Twalipo - Dar es Salaam

iii

 Mafunzo ya Kijeshi
 (CCC)
 Company Commander’s Course

2005

TMA – Monduli Arusha

iv

 Mafunzo ya Kijeshi
 (PCC)
 Platoon Commander’s Course

2000

TMA – Monduli Arusha

v

 Mafunzo ya Kijeshi
 (O/CDT)
 Officer Cadet Training

1997/8

TMA – Monduli Arusha

vi

 Mafunzo ya Kijeshi
 (RECRUIT)
 Basic Military Training

1997

RTS – Kunduchi Dar es Salaam

5.

 Uzoefu na Ajira 

Kampuni/ Taasisi

Nafasi

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

i

 Mkuu wa Wilaya
 Wilaya ya Ngara Mkoani
 Kagera

Mkuu wa Wilaya

2016

Hadi Sasa

ii

 Instructor
 School of Infantry

Instructor

2013

2016

iii

 Deputy Commander
 Mafinga JKT (841 KJ)

Bn 2i/c

2011

2013

iv

 Kaimu Mkuu wa Shule
 Shule ya Sekondari
 Jitegemee (JKT)

Kaimu Mkuu wa Shule

2010

2011

v

 Makamu Mkuu wa Shule
 Shule ya Sekondari
 Jitegemee (JKT)

Makamu Mkuu wa Shule

2008

2010

vi

 Mwalimu
 Shule ya Sekondari
 Jitegemee (JKT)

Mwalimu

1998

2008










Katibu Tawala wa Wilaya ya Ngara





HISTORIA YA WILAYA YA NGARA

Ngara ni Wilaya inayopatikana katika Mkoa wa Kagera Kaskazini Magharibi. Pia inapakana na Wilaya za Karagwe na Biharamlo za Mkoa wa Kagera na Kakonko ya Mkoa wa Kigoma.

Wilaya ya Ngara inakaliwa na Makabila ya Wahangaza na Washubi. Wilaya ya Ngara inapakana na nachi za Rwanda na Burundi na lugha ya wananchi wa Ngara ni Kihangaza na Kishubi.

Wilaya ya Ngara kabla ya kuitwa Ngara iliitwa Kibimba (yaani pori). Chanzo cha jina hilo la Ngara lilitokana na sehemu iliyokuwa maaalumu kwa mikutano ambayo ilifanyika chini ya miti mikubwa inayoitwa Iminyinya  Yingara (miti mikubwa yenye matawi yaliyosambaa) ambapo kwa sasa eneo hilo ndipo yalipo majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Ngara na mti wa kumbukumbu upo mpaka sasa. Na hapo ndipo jina la Ngara lilipotokea.


ORODHA YA WAKUU WA WILAYA YA NGARA TANGU MWAKA 1961 HADI SASA

NA.

 JINA KAMILI

MWAKA WA KUINGIA

MWAKA WA KUTOKA





23.
COL. MATHIAS JULIUS KAHABI
2021

-

22.

 COL. MICHAEL M. MNTENJELE

2016

2021


21.

 HONORATHA CHITANDA 

2015

2016

20.

 COSTANTINE JOHN KANYASU

2012

2015

19.

 COL. (MST) S.W. NYAKONJI

2006

2012

18.

 COL. SAMUEL A. NDOMBA

2005

2006

17.

 LT. COL. SAMUEL A. NDOMBA

2001

2005

16.

 DEUSDEDIT MTAMBALIKE

1999

2001

15.

 LT. EVANCE BALAMA

1996

1999

14.

 BRG. GEN. SYLVESTER HEMED

1994

1996

13.

 JONAS MWAKISYOMBE

1992

1994

12.

 LT. EVANCE BALAMA

1990

1992

11.

 ANTONY T.NDERUMAKI

1987

1990

10.

 JOHN PETER TAYALI

1983

1987

09.

 FAUSTINE KATOYO

1979

1983

08.

 PAULO GHEMELA

1976

1979

07.

 ENOCK LYANGALO

1975

1976

06.

 LOSA KYOMBA YEMBA

1973

1975

05.

 PIUS MIKONGOTI

1972

1973

05.

 IBRAHIM KAJEMBO

1969

1972

04.

 WAZIRI JUMA WAZIRI

1967

1969

03.

 MBUTA M. MIRANDO

1966

1967

02.

 EBRAHIM BAMPENJA

1963

1966

01.

 EDWIN ARAN K. NYAMUBI

1962

1963





Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa