• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Fursa za Kilimo

Fursa za Uwekezaji Katika Kilimo 

  • Uzalishaji wa ndizi, maharage na kahawa
  • Kilimo cha umwagiliaji katika mazao ya mpunga na mboga mboga
  • Kilimo cha Chai
  • Kilimo cha Parachichi
  • Uzalishaji wa sukari
  • Uzalishaji wa mazao yanayochipukia kama Chia, Kako na Vanilla

Katika kujenga uchumi wa viwanda na kuelekea uchumi wa Kati ifikapo 2025, Mkoa wa Kagera unatangaza fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika sekta za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi, Maliasili, Huduma za Fedha na Mitaji, Utalii n.k. Miongoni mwa fursa za uwekezaji zilizopo Mkoani Kagera ambazo zikitumiwa vizuri zinaweza kuleta mabadiliko ya kiuchumi ni kupitia kilimo na viwanda.

Mkoa wa Kagera unayo fursa ya kupakana karibu na nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki (Kagera Geographical Strategic Location) zikiwemo Uganda, Rwanda, Burundi na nchi ya Kenya kwa upande wa Ziwa Victoria, Jumuiya yenye zaidi ya watu 150 milioni inatoa fursa ya masoko ya mazao na bidhaa zitakazozalishwa Kagera.

Hali ya hewa ya Mkoa wa Kagera pamoja na upatikanaji wa mvua kwa misimu miwili kwa mwaka inaruhusu kilimo cha mazao mbalimbali ya chakula na biashara kama vile kilimo cha kahawa, miwa, chai, vanilla, alizeti, mpunga, mahindi, maharage, ndizi, viazi, mihogo, mbogamboga, maua n.k

Fursa Katika Kilimo; Kutokana na uwepo wa ardhi ya kilimo yenye rutuba mazao mbalimbali yanaweza kustawi katika Mkoa wa Kagera mfano kilimo cha mpunga, mahindi, maharage na mbogamboga katika Bonde la Mto Kagera, Mto Ngono na Bonde la Nkenge. Aidha, kilimo cha parachichi, vanilla, muhogo, kahawa, chai na zao jipya la chia. Vanilla inayozalishwa Kagera imethibitika kuwa na ubora wa juu duniani kuliko nchi yoyote kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha venille content, hivyo ipo fursa kubwa ya kuongeza uzalishaji wa vanilla Kagera tofauti na ilivyo sasa.

Kutokana na viwanda vyote vilivyopo Mkoani Kagera kuzalisha chini ya kiwango (under capacity), ipo fursa ya kuongeza na kukuza uzalishaji wa mazao kama chai, kahawa, miwa, alizeti n.k ili kupata malighafi ya viwanda hivyo viweze kufikia optimal capacity utilization.

Ujenzi wa soko la kimataifa katika mpaka wa Mutukula na ukamilishaji wa masoko ya kimkakati ya mpakani ya Murongo, Nkwenda na Kabanga utatoa fursa ya masoko kwa mazao na bidhaa zinazozalishwa katika Mkoa wa Kagera. Eneo la Mutukula lipo tayari, limepimwa, hati ipo na linamilikiwa na Halmashauri.

Fursa ya Kilimo cha Umwagiliaji: Mkoa wa Kagera unayo fursa ya kilimo cha umwagiliaji mazao ya mpunga, mahindi, maharage, mbogamboga na matunda katika eneo lenye takribani hekta 19,000 kwenye skimu za umwagiliaji za Kyota, Buyaga, Buhangaza, Kyamyorwa, Burigi, Muhutwe, Kyakakera, bonde la Nkenge na Mto Kagera pamoja na skimu ya Mwisa Wilayani Karagwe.




Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa