• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Fursa za Uwekezaji Kagera

Fursa za Uwekezaji Katika Sekta ya Utalii
  • Ujenzi na Usismamizi wa Mahoteli na Makambi ya Kitalii
  • Utamaduni na Utalii wa Picha 
  • Uwindaji 
  • Uanzishwaji wa Makampuni ya kitalii

Mkoa wa Kagera Umebarikiwa Kuwa na Vivutio Vingi vya Utalii Mfano, Maporomoko ya Maji ya Rusumo na Bugonzi, Maji ya Moto ya Mutagata, Misitu na Mapori ya Hifadhi, Michoro ya Mapango, Utalii wa Utamaduni, Kanisa la Kihistoria la Kyaka, Makaburi ya kumbukumbu (Heroes monuments) nyumba za wakama.

          Mkoa wa Kagera Umebarikiwa Kuwa na Vivutio Vingi vya Utalii Kama Ifuatavyo,Kanisa la Kihistoria la Kyaka Wilayani Missenyi


          Makaburi ya Kumbukumbu ya Mashujaa wa Vita ya Kagera (Heroes monuments)


           Utalii wa utamaduni Nyumba za Wakama (Chiefs) Waliotawala Katika Maeneo Mbalimbali Ndani ya Mkoa wa Kagera.


            Utalii wa Utamaduni Katika Himaya za Wakama Waliokuwa Wanatawala Sehemu Mbalimbali za Mkoa wa Kagera


           Utalii wa Utamaduni wa Ngoma za Kihaya na Mila za Kihaya na Makabila Mengine Katika Mkoa wa Kagera


            Uwanja wa Kisasa wa Ndege wa Bukoba Unaovutia Watalii na Wawekezaji Kuja Kagera Kutalii na Kuwekeza


           Maporomko ya Maji ya Rusumo Wilayani Ngara, Bugonzi Wilayani Muleba, Kyamunene Ndani ya Msitu wa Rubale Wilayani Bukoba.


            Mkoa wa Kagera unazo Hoteli za Kutosha za Kitalii za Kuwapokea Wageni Mbalimbali wa Kutoka Ndani na Nje ya Nchi


            Sanamu ya Mayunga Kama Kumbukumbu ya Uhuru Iliyopo Katikati ya Mji wa Bukoba Katika Kiwanja cha Uhuru. 


             Uwanja wa Kihistoria wa Michezo wa Kaitaba.


              Utalii wa Kiroho au Kuabudu Unaohusisha Makanisa ya Bukoba Cathedral, Bunena, Kashozi, Kanisa la Rutabo  
              Nyumbani kwa Cardinal Rugambwa na Makanisa Mengine Kama ya Askofu Kibira wa ELCT Pamoja na Misikiti  


               Utalii wa Mambo ya Kale Kama Michoro ya Mapangoni Iliyochorwa na Binadamu wa Kale Mkoani Kagera Wilayani Missenyi


               Minara ya Wajerumani Gymkhana Manispaa ya Bukoba


               Utalii wa Wanyama Katika Mapori ya Akiba na Misitu ya Hifadhi ya Biharamulo, Burigi na Kimisi (BBK), Ibanda na Rumanyika


FURSA UWEKEZAJI KATIKA VIWANDA

  • Usindikaji wa ndizi
  • Utengenezaji wa juisi aina mbalimbali
  • Usindikaji wa mihogo
  • Usindikaji wa Nyama
  • Usindikaji wa mazao ya misitu
  • Usindikaji wa ngozi
  • Usindikaji wa maharage
  • Usindikaji wa maziwa 
  • Uzalishaji wa Sukari
  • Usindikaji wa samaki
  • Utengenezaji wa vifaa vya ujenzi mfano vigae
  • Utengenezaji wa vifaa vya TEHAMA
  • Uchapishaji
  • Utengenezaji wa madawa ya binadamu


FURSA ZA BIASHARA ZA MIPAKANI

  • Ujenzi wa Masoko ya Kisasa Mipakani 
  • Ujenzi wa stoo (godowns) za kuhifadhia nafaka
  • Huduma mbalimbali za biashara za mipakani 

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MISITU

  • Uanzishwaji wa Misitu mikubwa ya miti kwa ajili ya biashara 
  • Uanzishwaji wa Mizinga ya nyuki ya kisasa
  • Ufugaji wa nyuki
  • Usindikaji wa asali

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA UVUVI

  • Uvuvi wa kutumia vizimba na mabwawa
  • Ujenzi wa Viwanda vya kusindika samaki
  • Uvuvi wa kisasa na kibiashara katika Ziwa Victoia na Maziwa mengine 15

UCHIMBAJI NA UONGEZAJI THAMANI MADINI

  • Uchimbaji na uongezaji thamani  Madini ya bati (tin)
  • Uchimbaji na uongezaji thamani madini nickel
  • Uchimbaji na uongezaji thamani madini ya dhahabu

UWEKEZAJI KATIKA HUDUMA ZA KIJAMII

  • Miundombinu ya Shule ( Elimu ya Awali, Msingi,Sekondari, Vyuo vya Ufundi, na Elimu ya Juu)
  • Huduma za afya
  • Huduma za kifedha
  • Usafiri na usafirishaji

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa