• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Kagera Yafungu Dawati Maalu la Uwezeshaji Wafanyabiashara

Imewekwa : September 3rd, 2025

TRA MKOA WA KAGERA YAFUNGUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI WAFANYABIASHARA 

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Kagera wazindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara kwa wafanyabiashara hususani wadogo ili kuendelea kuweka mazingira bora zaidi ya kufanya biashara.

Akizindua na kufungua huduma hiyo Septemba 3, 2025 katika ofisi za mkoa za TRA Mkuu wa Mkoa wa Kagera Fatma A. Mwassa aliushukuru uongozi wa TRA kwa kuwa wabunifu na kuanzisha huduma ya kuweka mazingira bora na rafiki ili wafanyabiashara wafanye shughuli zao kwa uhuru zaidi huku wakilipa mapato ya Serikali bila usumbufu wowote.

"TRA ya sasa ni rafiki sana, si kama ya zamani, unakaribishwa, unaelekezwa unakadiriwa kulingana na biashara yako, unapewa muda wakulipa kodogo kidogo kama umelimbikiza kodi lakini pia kama kuna jambo hulielewi unaelimishwa." Alisema Mkuu wa Mkoa Mwassa

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa Mwassa aliwakumbusha TRA mkoa wa Kagera kuhakikisha wanawafikia walipa kodi wote ili kukusanya mapato ya Serikali hususani kwa wafugaji ambao wanamiliki ng'ombe wengi katika ranchi za mkoa wa Kagera. Pia aliwataka wafanyabiashara kutumia fursa ya dawati maalum la uwezeshaji biashara kupata ushauri ili kukuza zaidi biashara zao.

Naye Bi Husna Abdul Mwenyekiti wa Shirikisho la Wamachinga mkoa wa Kagera akiongea katika uzinduzi huo aliushukuru uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Kagera kwa kuwa karibu na wafanyabiashara wadogo hususani wamachinga kwa kuwapokea na kuwaelimisha huku wakiwaongoza ili nao wakuze mitaji yao na biashara zao pia.

Aidha, Bw. Castro John Meneja wa Mamlaka ya Mapatoa Tanzania Mkoa wa Kagera alisema huduma ya Dawati la Uwezeshaji Biashara imefunguliwa na kuzinduliwa rasmi katika mkoa wa Kagera lengo kuu likiwa ni kuwatambua, kuwasikiliza na kuwawezesha wafanyabiashara wakiwemo wale wadogo kabisa kukuza biashara zao na kulipa mapato ya Serikali.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 23.8

    September 07, 2025
  • Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 23.8

    September 07, 2025
  • Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Kagera Yafungu Dawati Maalu la Uwezeshaji Wafanyabiashara

    September 03, 2025
  • Nsekela Stadium Yazinduliwa Rasmi Kyerwa - Kagera

    August 29, 2025
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa