• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko Akipokelewa Nkonje Pori la Burigi

Imewekwa : November 17th, 2017

Agizo la Rais Magufuli Laanza Kutekelezwa Kulifanya Pori la Burigi Kuwa Kivutio Cha Utalii Mkoani Kagera

Agizo la Rais Magufuli la kuufanya Mkoa wa Kagera kuwa kitovu cha utalii Kanda ya Ziwa kwa kuyalinda Mapori ya Akiba na Misitu ya Hifadhi hasa Mapori ya Biharamulo, Burigi na Kimisi laanza kutekelezwa rasmi  na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ili kuzifanya hifadhi hizo kuwa maeneo ya utalii.

Katika kutekeleza agizo hilo la Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko alitembelea Pori la Akiba la Burigi Novemba 16, 2017 na kulikagua pori hilo ambapo alijionea  mwenyewe wanyamapori walivyorejea katika pori hilo na kuona ni sehemu gani wawekezaji wanaweza kuwekeza hasa katika hoteli za kitalii na miundombinu mingine.

Meja Jenerali Mstaafu Semfuko baada ya kutembelea pori hilo kwa njia ya anga (Ndege) na kutembelea kwa njia ya gari pia na kuzunguka katika ziwa Burigi kwa boti alifurahishwa na kurejea kwa wanyama wengi katika Pori la Akiba la Burigi baada ya kuondoshwa ng’ombe wote waliokuwa wamevamia pori hilo.

“Nimejionea hali halisi na naupongeza uongozi wa Mkoa kwa kusimamia operesheni ya kuondoa mifugo yote, nimepita juu na ndege na sikuona ng’ombe hata mmoja bali nimeona wanyama wengi ambapo wakati nilipokuja wakati wa operesheni sikuwaona kabisa mfano Twiga,Tembo,  Swala, Pundamilia na wengine wengi wamerea sasa,” alististiza Mwenyekiti wa Bodi Semfuko.

Meja Jenerali Mstaafu Semfuko alisema kuwa baada ya Rais Magufuli kuagiza eneo hilo kufanywa eneo la utalii wao kama Bodi ndiyo watekelezaji wa agizo hilo. Pia alisema kuwa yeye alikuja kujihakikishia ili akatoe taarifa kwenye bodi ambapo tayari Bodi hiyo  imeishampata mwekezaji ambaye atawekeza katika eneo la Nkonje  kwa kujenga  sehemu za kupumzikia na ujenzi ambao utahusisha mahema ya kisasa.

Naye Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania Bw. Imani Nkuwi alisema kuwa bado wanaangalia wanyama wote warejeree  katika pori hilo na kuona uwezekano wa hapo baadae kupandikiza wanyama wengine kama vivutio.

Rais Magufuli akiwa Mkoani Kagera katika ziara ya kikazi ya siku nne Novemba 6, 2017 akiwahutubia wananchi na Taifa kwa ujumla Katika Manispaa ya Bukoba alipokuwa akizindua uwanja wa Ndege wa Bukoba alikemea vitendo vya kuvamia Misitu ya Hifadhi na Mapori  ya Akiba hasa pori la Burigi Wilayani Biharamulo ambapo aliagiza pori hilo kulindwa na kulifanya sehemu ya utalii.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa