• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Rasmu ya Bajeti ya Mkoa ya Mwaka 2017/2018 Yaptishwa na Vikao vya Kisheria

Imewekwa : March 3rd, 2017

RASMU YA BAJETI YA MKOA YA MWAKA 2017/2018 YAPITISHWA NA VIKAO VYA KISHERIA MKOANI KAGERA

Kikao cha Balaza la Wafanyakazi na Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) Mkoani Kagera ambavyo ni vikao vya kisheria vimefanyika kwa kupitia  na kuridhia  rasmu ya bajeti ya mkoa kwa mwaka 2017/2018 ambapo Mkoa wa Kagera unaomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi bilioni 335,198,197,649. 

Kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi  bilioni 233,562,036,745 ni Mishahara  ya Watumishi (PE), Shilingi bilioni 20,495,137,000 ni Matumizi Mengineyo (OC), Shilingi bilioni 64,769,162,413 ni fedha za  Miradi ya Maendeleo. Aidha,  shilingi bilioni 16,371,861,491 yatakuwa ni makusanyo ya vyanzo vya ndani (Own Source) na maduhuli ya Sekretarieti ya Mkoa.

Vikao hivyo vya kisheria vilifanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambapo kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilifanyika Machi 1, 2017 na Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa kilichoongozwa na Mwenyekiti wake Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu kilifanyika Machi 3, 2017.

Pamoja na vikao hivyo kupitia na kuridhia rasmu ya bajeti ya mkoa ya mwaka 2017/2018 Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu alitoa rai kuwa hali ya hewa ya Mkoa wa Kagera ni nzuri na mvua zimeanza kunyesha kwa wastani wa milimita 800 – 1,100 kuanzia mwezi Februari, 2017.

Pia Mkuu wa Mkoa aliwaomba wajumbe na viongozi wa kikao cha (RCC)kuendelea kuwahamasisha wananchi kuzitumia mvua zinazoendelea kunyesha kwa kulima mazao yanayostawi kwa muda mfupi ili kutatua changamoto za upatikanaji wa chakula kwenye mkoa.

Aidha, aliwaagiza wataalamu wa kilimo wawasimamie wananchi wazalishe kwa wingi na kuuza ziada ili wajikwamue na umasikini wa kipato. Pia Mhe. Kijuu alisistiza uhamasishaji wa upandaji miti uendelee kutolewa kwa wananchi wote ili kutunza na kulinda tunu ya mazingira ya Mkoa wa Kagera. 

Mwisho Mhe. Kijuu aliziagiza Kamati za Maafa za Wilaya ziendelee kuchukua tahadhari ya kutosha kukabiliana na athari za mafuriko, mmomonyoko wa ardhi  na uharibifu wa miundombinu mbalimbali ili kujihami na athari zinazoweza kutokea kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Kagera.

Mwaka wa fedha 2015/2016 Halmashauri za Mkoa wa Kagera zilikadiriwa kukusanya jumla ya Shilingi 15,988,022,000 toka vyanzo vyake vya ndani. Kwa kipindi cha Julai, 2015 hadi Juni 2016 makusanyo halisi yalikuwa ni shilingi 11,585,454,840.84 sawa na asilimia 72.46 ya lengo la mwaka. Aidha kwa mwaka 2016/2017 Mkoa ulipanga  kukusanya jumla ya shilingi 16,424,163,859 ambapo hadi kufikia mwezi Disemba, 2016 zilikuwa  zimekusanywa Jumla ya Shilingi 6,863,000,367.97 sawa na asilimia 43.83 ya lengo kwa mwaka.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa