• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Katika Ufunguzi wa Wiki ya Uwekezaji Kagera Mabalozi Watano Kutoka Nchi Tano Watoa Vifurushi Vya Fursa Kwa Wafanyabiashara Tanzania

Posted on: August 12th, 2019

Wiki ya Uwekezaji Kagera sasa yaanza rasmi mkoani Kagera Agosti 12, 2019 kwa Mabalozi wa nchi tano zinazopakana na mkoa wa huo kuwasilisha fursa zinazopatikana katika nchi walizotoka na fursa hizo  zinaweza kuchangamkiwa kwa namna gani na wafanyabiashara wa Kagera na Kanda ya Ziwa .

Mabalozi hao watano waliwasilisha fursa mbalimbali kwa wafanyabiashara wa mkoa wa Kagera waliohudhuria kongamano ili kuwaonesha na kuwafungua macho waweze kufanya biashara na nchi hizo. Mabalozi waliowasili mkoani Kagera ni Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya, Uganda na Congo DRC.

Balozi wa Tanzania Nchini Rwanda Inspekta Jenerali Mstaafu  Ernest Mangu akiwasilisha fursa zinazopatikana nchini Rwanda alisema kuwa Mkoa wa Kagera unahitaji sana kuwa au kujenga masoko ya mipakani ili kusogeza bidhaa mbalimbali karibu na nchi jirani ili kuyafikia masoko kwa haraka badala ya wafanyabiashara kutoka nchi za nje kuingia ndani na kujitafutia bidhaa wenyewe..

Balozi Tanzania nchini Uganda Mhe. Dk. Aziz P. Mlima akiwasilisha fursa zinazopatikana nchini Uganda aliwashauri wananchi wa mkoa wa Kagera pamoja na wafanyabiashara kulima zao la parachichi ambalo sasa lina soko kubwa nchi za nje. “Badala ya kupanda miti ya mbao sasa ni wakati wa kulima parachichi kwa wingi.” Balozi Dk. Azizi

Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dk. Pindi Chana pamoja na kuwasilisha fursa za biashara zinazopatikana nchini Kenya lakini alisema kuwa wafanyabiashara wa Kagera na Tanzania bado wanahitaji Elimu kubwa juu ya biashara za kimataifa kwa kuelimishwa kutumia teknolojia za mitandao badala ya kubeba bidhaa na kwenda kutafuta soko watumie teknolojia ya mitandao kupata masoko .

Balozi wa Tanzania nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo  Lt. Jen. (mst) Paul I.  Mella alisema kuwa nchi ya Kongo ina soko kubwa la biashara na si mkoa wa Kagera tu bali Kanda ya ziwa kutokana na ukubwa nchi ya Kongo ikiwa ni pamoja na wingi wa watu wanaopatikana katika nchi hiyo.

Naye Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Burundi Dr. Edmund Kitokezi alisema kuwa Burundi kuna fursa za biashara lakini akasisitiza kuwa nchi ya Burundi isiangaliwe kwa udogo wake bali fursa za kibiashara ni kubwa kuliko mtu yeyeto anavyodhania.

Akiifungua Kongamano la wafanyabiashara Mwenyekiti Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. gaguti alisistiza kuona wafanayabiashara wa Kagera na mikoa ya jirani wanaamka na kuchangamkia fursa na kuwa wasumbufu kwa viongozi wa ngazi zote katika kuhakikisha fursa za biashara zinachangamkiwa kwa kiwango kikubwa.

“Hapa tunaongelea fursa ya kitaifa na si mkoa wa Kagera tu kwani kati ya nchi nane zinazopakana na Tanzania nchi nne zote zinapakana na Mkoa wa Kagera kwa hiyo mkoa huu ni kitovu cha uchumi wa Nchi za Afrika Mashariki na Kati nataka kuona hamasa ya wafanya biashara wetu hapa wakitumia fursa hiyo.” Alisistiza MKuu wa Mkoa Gaguti

Naye Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Amon Mpanju alisema Mkoa wa Kagera sasa ni wakati wake wa kuinuka kiuchumi katika Awamu ya Tano na uongozi wa Mkoa usiruhusu malumbano ya kiasiasa kukwamisha maendeleo pia usiruhusu wafanyabiashara wabinafsi kuhodhi biashara wao peke yao.

Mwisho Mbunge wa Bukoba Mjini Wilfred Lwakatare aliwashukuru Mabalozi kwa kuja katika kongamano hilo na kutoa elimu hasa ya fursa zinazopatikana katika nchi walizotoka na kusema kuwa Mabalozi hao wametoa cheki ya fedha iliyowazi ili mtu kuandiaka kiasi chochote cha fedha anachohitaji akimaanisha kuwa baada ya Mabalozi kutoa elimu juu ya  fursa, sasa wafanyabiashara wachague wao ni biashara gani wafanye na nchi gani.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.