• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Watumishi wa Umma Nipeni Ushirikiano Tushirikiane Kuinua Maendeleo ya Mkoa wa Kagera Tupambane na Utapiamlo – Profesa Kamuzora

Imewekwa : January 11th, 2019

Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Kagera Profesa Faustine KamuzoRa katika siku yake ya pili katika kituo chake kipya cha kazi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera akutana na Watumishi wa ofisi yake na kuzungumza nao ambapo alitoa mwelekeo wa kutimiza majukumu yake ikiwa ni pamoja na kipaumbele chake katika Mkoa wa Kagera.

Katika kikao kifupi na watumishi wa ofisi yake Januari 11, 2019 Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Kagera Profesa Kamuzora aliwaomba watumishi atakaowaongoza katika utumishi wa umma kumpa ushirikiano wa kutosha ili kuweza kutekeleza majukumu yake ya kuwaletea wananchi maendeleo na kuinua uchumi wa Mkoa wa Kagera na kuurudisha katika enzi zake.

Profesa Kamuzora akitaja kipaumbele chake katika Mkoa wa Kagera alisema kuwa ni kuona namna bora ya kupambana na suala la utapiamlo hasa kwa watoto kwani takwimu zilizopo sasa Kagera inashika nafasi ya nne kwa asilimia 41.7%  kati ya mikoa 25 Tanzania Bara ambapo takwimu hizo zinatisha sana na kupelekea udumavu hasa udumavu wa akili hususani kwa watoto.

“Kama hatutaangaika na suala hili la utapiamlo hatuwezi kusonga mbele kwasababu hata uwezo wa kufikiri hasa kwa watoto wetu ni mdogo sana utaendelea kuwa mdogo sana jambo ambalo ni hatari kubwa kwa  vizazi vya sasa na vijavyo.”  Alifafanua Profesa Kamuzola

Profesa Kamuzora aliendelea kusisitiza kuwa anajua kuna sababu nyingi zilizochangia katika kuurudisha nyuma Mkoa wa Kaegera kimaendeleo ikiwa ni pamoja na vita, Tetetemeko, ajali ya Mv Bukoba, Ugonjwa wa UKIMWI lakini alisema kuwa watumishi na wananchi kwa ujumla wanatakiwa kushikamana na kupambana kama nchi ya Rwanda walivyofanya baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe na wakasonga mbele na Rwanda sasa ipo mbali kimaendeleo.

Katika upande mwingine Profesa Kamuzora alipongeza juhudi mbalimbali ambazo zimekuwa zikifanywa na uongozi wa Mkoa wa Kagera katika sekta mbalimbali mfano Elimu kuwa mkoa unaendelea kufanya vizuri na taratibu unarejea enzi zake za zamani. Pia aliwaomba watumishi kuendelea kushirikiana katika kutatua changamoto mbalimbali hata za kimaendeleo ili kuufikisha mkoa mahali pake.

Mkoa wa Kagera unakabiliwa na tatizo kubwa la utapiamlo ambapo unashika nafasi ya nne kutoka mwisho kwa asilimia 41.7% ya utapiamlo na Mkoa wa Njombe ukiongoza kwa asilimia 49.4% ya utapiamlo wakati mkoa ambao una asilimia ndogo ya utapiamlo ukiwa ni Dar es Salaam ambao una asilimia 14.6% (Takwmu za mwaka 2016)

Profesa Faustine Kamuzola ni Katibu Tawala wa 20 tangu mwaka uhuru Aidha, Profesa Kamuzora aliteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Kagera na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli  Januari 8, 2019 na kuapishwa Ikulu Jijini Dar es Saalam Januari 9, 2019 na alilipoti Mkoani Kagera Januari 10, 2019 na kuanza kazi ya kutekeleza majukumu yake ya kazi mara moja.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa