• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Afanya Ziara ya Siku Mbili Mkoani Kagera Kukagua Miradi ya Maendeleo Inayofadhiliwa ya Nchi Yake

Posted on: July 3rd, 2018

Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Jeroen Verheul  afanya ziara ya siku mbili Mkoani Kagera kukagua  miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na nchi ya Uholanzi katika kuinua uchumi na kipato cha wananchi ambao ni wakulima na wafugaji ili kuboresha maisha yao.

Mara baada ya kuwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera  Balozi Jeroem Verheul   alisema kuwa lengo la ziara yake Mkoani Kagera ni kuja kuona fursa za uwekezaji katika biashara ya bidhaa za kilimo na mifugo kati ya nchi yake na Tanzania hasa bidhaa zinazoweza kupatikana ili zikauzwe nchini Uholanzi kutoka Mkoani Kagera.

“Lengo kuu la kuja Mkoani Kagera ni kuona  fursa za uwekezaji na miradi ya maendeleo ambayo nchi yangu ya Uholanzi imekuwa ikiifadhili kama kilimo na ufugaji na  kuona namna bora ya kuboresha miradi hiyo ambayo inaweza kuwa kiunganishi kizuri kwa kufanya biashara ya kati ya nchi zetu mbili za Uholanzi na Tanzania hasa Mkoa wa Kagera. “Alieleza Balozi Jeroen Verheul 

Pia Balozi Jeroen alisema kuwa pamoja na kufadhili miradi ya Kilimo na Ufugaji katika Mkoa wa Kagera lakini pia nchi yake imefadhili na kujenga mradi wa kituo cha kufua umeme Wilayani Biharamulo  pamoja na mradi wa kujenga barabara kwa teknolojia iliyotengenezwa nchini kwao yenye unafuu wa gaharama za matengenezo ya barabara za vijijini ukilinganisha na matengenezo  ya kawaida.

Balozi Jeroen alisema teknolojia hiyo imetengenezwa nchini  Uholanzi na Wilaya ya Biharamulo ilichaguliwa kama sehemu ya majaribio ambapo imetengenezwa barabara ya kilometa moja kwa teknolojia hiyo ya kuchanganya maji, udongo na vifaa vingine ambapo barabara hiyo inaweza kudumu kuanzia miaka kumi na kuendelea bila matengenezo makubwa.

Ziara ya Balozi Jeroen Verheul  Mkoani Kagera na Wilayani Biharamulo ni pamoja na kutembelea na kukagua barabara iliyotengenezwa kwa teknolojia kutoka nchini Uholanzi ili kuona ufanisi wake, changamoto zilizopo na kuona namna bora ya kuboresha  teknolojia hiyo ili itumike katika kutengeneza barabara nyingi katika Halmashauri za Wilaya nchini.

Aidha, akimkaribisha Mkoani Kagera Mkuu wa Mkoa  Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu alimshukuru Balozi Jeroen kwa kuamua kuutembelea Mkoa wa Kageara pia na ufadhili wa nchi yake wa kufadhili miradi mablimbali katka Sekta za Kilimo, Ufugaji, Nishati na Miundombinu inayolenga kuinua uchumi wa Wananchi wa Mkoa wa Kagera

Mkuu wa Mkoa Kijuu aliitaja baadhi ya miradi ambayo nchi ya Uholanzi imekuwa ikiifadhi Mkoani Kagera kuwa ni Mradi wa Kuendeleza Wafugaji Kagera (Kagera Livestock Development Programme - KALIDEP) pamoja na mradi wa kuendeleza wafugaji wadogo wa ng’ombe wa maziwa  vijijini.

Miradi mingine ikiwa ni pamoja na utoaji wa mbegu bora za ng’ombe wa kisasa wenye tija katika ufuaji wanaotoa maziwa kwa wingi  pamoja na kutoa madawa mbalimbali ya kupambana na magonjwa ya mifugo ili ufugaji katika mkoa wa uwe wa tija.

Mkuu wa Mkoa Kijuu alisema kuwa ni matarajio ya Serikali ya Mkoa kuwa siku moja maendeleo ya wakulima na wafugaji  katika Sekta za Kilimo na Mifugo Mkoani  Kagera polepole yatafikia maendeleo ya Waholanzi katika sekta hizo kutokana na ufadhili wa nchi hiyo katika kuhakikisha Wananchi wa Kagera wanapiga hatua ya maendeleo.

Balozi Jeroen katika siku yake ya kwanza Julai 2, 2018 Mkoani Kagera alitembelea Manispaa ya Bukoba kuona ufugaji wa Samaki katika mabwawa mradi uliopo chini ya Cartas Tanzania pia alitembelea mradi wa Wafugaji wadogo wa Ng’ombe wa Maziwa Wilayani Missenyi. Katika Siku yake ya pili Julai 3, alitarajiwa kutembelea Wilaya ya Biharamulo kukagua mradi wa kituo cha kufua umeme na mradi wa utengenezaji wa barabara za vijijini kwa teknolojia kutoka Uholanzi.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.