• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Bw. Isaya Tendega Akijiandaa Kupanda Mche wa Mti wa Parachichi Shule ya Msingi Kayanga Karagwe Katika Kilele cha Wiki ya Upandaji Miti Kagera.

Posted on: April 3rd, 2018

Ukijani wa Mkoa wa Kagera Sasa Waelekezwa Katika Matunda Kuboresha Afya za Wananchi na Kulisha Viwanda

Mkoa wa Kagera waadhimisha kilele cha wiki ya upandaji miti Wilayani Karagwe kwa kupanda miche zaidi ya 600 ya miti ya matunda aina mbalimbali ili kuboresha afya za wananchi wa Kagera na kuondokana na matatizo ya utapiamlo na udumavu  hasa watoto wadogo.

Katika hotuba yake Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka alisema  katika hotuba yake kuwa wananchi wa  mkoa wa Kagaera wana tatizo la kutokula matunda wakati kilimo cha matunda kinakubali katika ardhi ya Kagera.

Mkuu wa Mkoa alisistiza juu ya Kampeini yak e aliyoizindua mwezi Janauari 26, 2018 ya kupanda miti ya matunda kwa wingi ili kuhamasisha wananchi kuwa na utamaduni wa kula matunda mara kwa mara ili kumaliza tatizo la udumavu pamoja na utapiamlo magonjwa yanayosababishwa na kutokula matunda kwa wingi.

Mkuu wa Mkoa Kijuu alisisitiza tena  kila kaya kuhakikisha inapanda angalau miche mitano ya matunda kuzunguka katika nyumba  yao na Halmashauri za Wilaya kuhakikisha zinaanzisha vitalu vya matunda ili kurahisisha upatikanaji wa miche hiyo ya matunda kwa wananchi.

Kauli mbiu ya mwaka huu ilikuwa inasema “Tanzania ya Kijani Inawezekana, Panda Miti kwa Manufaa ya Viwanda” katika kufanikisha kaulimbiu hiyo mkoa wa Kagera umekuwa ukipanda miti kwa wingi ili kulinda mazingira na mwaka wa fedha 2016/17 ulifanikiwa kupanda jumla ya miti milioni 14 na miti milioni 12 ilifanikiwa kuota na kukua.

Aidha kuanzia mwaka wa fedha 2017/2018 mkoa chini ya kampeini ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera unaendelea kuhamasisha wananchi kupanda zaidi miti ya matunda kuliko miti ya mbao ili kuboresha afya ambapo kila Halmashauri imeagizwa kupanda miti hasa ya matunda na kufikia lengo la miche milioni moja na nusu.

Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Kayanga Mkuu wa Wilaya aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa Kagera alijumuika na wananchi, wanafunzi  pamoja na walimu na wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya  ya Karagwe kupanda miche ya miti ya matunda  katika viwanja vya Shule hiyo na maeneo yanayozunguka Shule ya Msingi Kayanga.

Bw. Isaya Tendega Kaimu Katibu Tawala Sehemu ya Uchumi na Uzalishaji kwaniaba ya Katibu Tawala wa Mkoa aliwasisitiza walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi kayangia kuitunza miche hiyo ya matunda ili ikue ili wanafunzi na walimu waweze kunufaika na matunda yatakayopatikana kutokana na miti hiyo.

Katika hatua nyingine  Bw. Tendega aliwashukuru wadau mbalimbali katika Mkoa wa Kagera wanaounga mkono juhudi za utunzaji wa mazingira kwa kutoa miche ya matunda na miti katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kagera . Wadau hao ni pamoja na Tanzania Agricultural Modernization Association, Kanisa Katoliki, Vi Agroforestry, KKKT Dayosisi ya Karagwe na wengineo.

Mwaka huu maadhimisho ya wiki ya upandaji miti kitaifa ilifanyika Mkoani Shinyanga  Wilayani Kishapu na Mkoa wa Kagera uliadhimisha kilele hicho  Wilayani Karagwe  na huadhimishwa kila mwaka Aprili Mosi.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.