• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Bw. Saidi Kassim Kutoka OR TAMISEMI Akitoa Mada Kuhusu Upigaji wa Kidijitali Katika Mafunzo ya Maafisa Habari na Tehama Mkoani Kagera

Posted on: February 20th, 2018

Maafisa Habari na Tehama Wanolewa Kuziboresha Tovuti za Mikoa na Halmasahuri Ili Kuwa Kitovu Cha Habari Kwa Wananchi

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa kushirikiana na Mradi wa kuboresha Mifumo ya Serikali PS3 waendesha mafunzo ya siku nne juu ya namna bora ya uandishi wa habari za Tovuti za Serikali kwa Maafisa Habari na Maafisa Tehama wa Mikoa na Halmashauri zote Tanzania Bara.

Kutokana na umuhimu wa Tovuti za Serikali hasa katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa nchini kuwa chanzo kikuu cha habari kwa wananchi Serikali kwa kushirikiana na Mradi wa Maboresho ya Mifumo ya Serikali PS3 waliona kuna umuhimu wa kuendesha mafunzo juu ya uandishi bora wa habari katika Tovuti za Mikoa na Halmashauri ili wananchi wapate habari muhimu na zenye uhakika juu ya maendeleo yao.

Kwakuwa siyo Mikoa yote na Halmashauri zote nchini zina Maafisa Habari na kazi za Habari zinafanywa na baadhi ya watu kama Maafisa Tehama, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mradi wa kuboresha Mifumo ya Serikali PS3 wameona kuna umuhimu wa Maafisa hao kupitishwa katika mafunzo ya namna bora ya uandishi wa habari za Tovuti kwa wananchi ili kuwa na uelewa wa pamoja na aina moja ya uandishi (House Style)

Katika Mafunzo hayo mada mbalimbali zihusuzo Uandishi wa Habari zinawasilishwa na wataalamu waliobobea katika mambo ya habari na uandishi wa habari pia ambapo mada hizo ni pamoja na Malengo ya Mwongoz wa Tovuti, Sheria na Maadili ya Habari, Upigaji wa Picha za Kidijitali, Mbinu za Mahojiano, Uandishi wa Aya, Habari katika mfumo wa 5Ws + H (Piramidi iliyogeuka).

Mafunzo ya namna bora ya uandishi wa habari za Tovuti za Serikali yanaendeshwa katika makundi ya mikoa mbalimbali ambapo mikoa ya Geita, Tabora Kigoma na Kagera mafunzo hayo yanafanyika katika Mkoa wa Kagera Bukoba Hotel Manispaa ya Bukoba aidha, mafunzo hayo yalianza Februari 19 na yanatarajia kukamilika Februari 22, 2018.

Matarajio ya Serikali baada ya mafunzo hayo ni kuona Tovuti za Serikali zinakuwa kitovu cha habari kwa wananchi na si ilimradi habari tu bali habari zenye weledi, ukweli, uhakika na kuisemea Serikali inafanya nini katika kuwaletea wananchi maendeleo. Pia katika Tovuti hizo kuwa na taarifa muhimu mbalimbali zinazohusu taasisi husika mfano Mkoa au Halmashauri husika.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.