• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera Yazindua Duka la Dawa kwa Ajili ya Huduma ya Wananchi

Posted on: August 18th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Azindua Duka la Dawa Katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera Agosti 17, 2017

  • Bodi ya Nne ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa  Yazinduliwa na Kukabidhiwa Majukumu Yake.
  • Madaktari Bingwa wa Magonjwa yote Kuwasili Mkoani Kagera Septemba 18, 2017

Serikali Mkoani Kagera katika kusogeza huduma za jamii karibu na wananchi imeanzisha na kuzindua duka la dawa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ili kuwahudumia wananchi waliokuwa wanaangaika kutafuta dawa nje ya Hospitali hiyo ambazo zilikuwa hazipatikani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa.

Akizindua duka hilo Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M.Kijuu Agosti 17, 2017 alitoa  wito kwa viongozi wa Hospitali hiyo kuhakikisha duka hilo linaendeshwa kwa utaratibu mzuri na  huduma nzuri zaidi. Aidha, kuhakikisha dawa zote za msingi zinapatikana na duka linatoa huduma masaa 24 kila siku.

Pia Mkuu wa Mkoa Kijuu aliusisitiza uongozi wa Hospitali hiyo kuwa na lengo la kupanua duka hilo ili litoe huduma kwa Zahanati na vituo vya afya katika Mkoa mzima. Yaani badala ya vituo hivyo kwenda kununua dawa, zinazokosekana Bohari ya Dawa (MSD), kwa maduka binafsi waje wanunue dawa hizo katika duka hilo.

Akitoa ufafanuzi Mganga Mkuu wa Mkoa Dk. Thomas Rutachunzibwa alisema kuwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa itaendelea kutoa huduma ya dawa katika dirisha lake la kawaida isipokuwa dawa ambazo zitakosekana katika dirisha la kawaida ndizo zitakuwa zinapatikana katika duka hilo kwa bei nafuu sana lakini siyo kwamba zitakuwa zinatolewa bure.

Duka hilo lilianza kufanyakazi tangu tarehe 01 Agosti, 2017 kama sehemu ya maandalizi na majaribio na kwa kipindi hicho, idadi ya wagonjwa wanufaika wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwenda nje ya Hospitali hiyo kupata dawa imepungua. Duka hilo lilifanyiwa ukarabati kwa gharama ya shilingi milioni 22 na tayari dawa za kiasi cha shilingi milioni 30 zimenunuliwa kwa ajili ya huduma.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Kijuu alizindua Bodi ya Nne ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa baada ya Bodi iliyokuwepo kumaliza muda wake ambapo Mwenyekiti wa Bodi hiyo mpya ni Mzee Pius Ngeze ambaye ataongoza Bodi hiyo yenye wajumbe 15 kwa miaka mitatu.

Kwa kuboresha huduma na kuzisogeza karibu na wananchi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera inatarajia kuwaleta Madaktari Bingwa wa Magonjwa yote kuanzia tarehe 18 Septemba 2017 ambapo gharama za kuwaona Madaktari hao zitakuwa ni shilingi 5,000/= tu badala ya 25,000/= za kuwaona Madaktari bingwa katika Hospitali binafsi.

Akifafanua huduma hizo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dk. John Mwombeki Alisema wananchi watakaofanyiwa vipimo na kubainika kuwa watafanyiwa upasuaji watachangia gharama ya shilingi 30,000/= badala ya zaidi ya shilingi 500,000/= katika Hospitali binafsi. Huduma hizo hapo baadae zitalenga kufikishwa katika Halmashauri za Wilaya ili kuwafikia wananchi nwaliowengi zaidi vijijini.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.