• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Kaimu Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Awasili Mkoani Kagera Kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Tatu Kukagua Miradi ya Maendeleo ya Sekta ya Afya

Posted on: June 10th, 2019

Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Dk. Inmi Patterson awasili Mkoani Kagera kwa ziara ya  kikazi ya siku tatu kukagua miradi ya maendeleo katika Sekta ya Afya kitengo cha UKIMWI inayotoa huduma kwa wananchi na kufadhiliwa na nchi ya Marekani.

Kaimu Balozi Dk. Patterson akiongea na Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti ofisini kwake mara baada ya kuwasili  Juni 10, 2019 mkoani Kagera alitoa pole kwa wananchi wa Manispaa ya Bukoba waliokumbwa na mafuriko Mei 26, 2019  na kusema kuwa aliguswa na tukio hilo lililoleta taflani kwa wananchi aidha aliishukuru Serikali kupitia Mkuu wa Mkoa kwa hatua zilizochukuliwa haraka kunusuru maisha ya wananchi hao.

Akitaja dhumuni la ziara yake mkoani Kagera Kaimu Balozi Dk. Patterson alisema kuwa amekuja Kagera kuona mafanikio ya  miradi ya maendeleo hasa Sekta ya Afya inayofadhiliwa na Marekani kwani mkoa wa Kagera unaonekana kunafanya vizuri hasa katika upimaji wa watu waliombukizwa na Virusi Vya UKIMWI (VVU) hasa wananume, utoaji wa dawa za kufubaza nguvu za Virusi, pia wananchi kuhamasika kupima katika vituo vya afya.

“Nimefurahi sana kufika hapa kujionea  miradi tunayoifadhili lakini kikubwa na nia yangu ni kuona maambukizi ya VVU yanashuka pia mkoa huu umebarikiwa kuwa na chakula cha kutosha lakini  inaonekana udumavu wa watoto bado ni mkubwa lazima kuangalia mbele kwanikwa takwimu za sasa idadi  ya watu Tanzania ni karibu milioni 60 lakini lazima tufikirie mwaka 2045 wingi huo wa watu utakuwa mara mbili yaani milioni 120 lazima tuanze sasa kujenga kizazi chetu. “ Alisisitiza Kaimu Dk. Balozi Patterson

Naye Mkuu wa Mkoa Gaguti akimweleza Balozi Dk.  Patterson  juu ya namna mkoa unavyopambana na udumavu alisema kuwa kwa Kagera chakula si tatizo bali elimu tu kwa wananchi ambapo alisema kuwa sasa udumavu imekuwa ajenda yake na ya mkoa mzima kwa kutoa elimu juu ya lishe bora kwa wananchi  ili kuhakikisha tatizo la udumavu linaondoka katika mkoa wa Kagera.

Naye Mgagnga Mkuu wa Mkoa Dk. Marco Mbata katika mazungumzo hayo alimhakikishia Kaimu Balozi Dk. Patterson kuwa takwimu za hivi karibuni  za udumavu kwa mkoa wa Kagera umeshuka kutoka asilimia 41.7 hadi asilimia 39.8 na mkoa bado unaendelea na kutoa elimu kwa wananchi lishe bora kwa kutumia vyakula mbalimbali  vilivyomo mkoani Kagera badala ya kula chakua aina moja tu ndizi.

Vilevile Mkuu wa Mkoa Gaguti alimweleza Kaimu Balozi Dk. Patterson juu ya fursa mbaimbali za uwekezaji kama kilimo, ufugaji, utalii na nyinginezo ambapo alisema katika sekta ya kilimo mkoa una eneo la kilimo na kuna fursa kubwa ya kilimo cha Vanila. Aidha, zao la kahawa mkoa wa Kagera unazalisha karibu nusu ya uzalishaji wa nchi nzima ya Tanzania  na alimwomba Kaimu Balozi kuwaleta wawekezaji kuja kuwekeza katika Sekta hizo.

Akiongelea fursa za uwekezaji Kaimu Balozi Dk. Patterson alisema kuwa mkoa wa Kagera ni kitovu cha usafirishaji kwani mkoa huo umepakana na nchi nyingi ambazo ili kufikika lazima upite Kagera pia Balozi huyo wa marekani alisema kuwa Tanzania ni nchi yenye uwezo  usiokuwa na ushindani kutokana na raslimali ilizonazo kwahiyo wananchi wake hawapaswi kuwa masikini.

Katika Hutua nyingine Mkuu wa Mkoa  Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti alimpokea ofisini kwake Balozi wa Ethiopia nchini Tanzania  Balozi Yonas Yosef Sanbe ambaye naye aliwasili mkoani Kagera Juni 10, 2019 kwa ziara ya kikazi ya siku moja.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.