• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Katibu Tawala Mkoa wa Kagera CP Diwani Athuman Akifungua Mafunzo ya Mifumo Iliyoboreshwa Kwa Watumishi Kutoka Mikoa ya Kagera na Kigoma

Posted on: June 6th, 2018

Mikoa ya Kagera na Kigoma Yapata Mafunzo ya Mifumo Iliyoboreshwa Katika Usimamizi wa Fedha na Uhitaji wa Watumishi Katika Vituo

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kwa kushirikiana na Washirika  wa Maendeleo ambao ni Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) waendesha mafunzo ya siku  mbili mkoani Kagera kuhusu mfumo ya usimamizi wa fedha, mfumo wa kubaini mahitaji ya Watumishi ulioboreshwa kwa mikoa ya Kagera na Kigoma.

Mafunzo hayo yanahusu Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma wa EPICOR toleo la 10.2 ambao umeboreshwa ili kuwezesha  ubadilishanaji wa taarifa na Mfumo wa Mipango na Bajeti wa PlanRep na ule  wa Uhasibu na kutoa taarifa za fedha za vituo vya kutolea huduma FFARS.

Aidha, mafunzo hayo yanalenga pia kupata mrejesho wa matokeo ya zoezi la kubaini mahitaji ya watumishi kwa kutumia Mifumo ya Workload Indicators of Staffing Need (WISN), na Priority and Optimization Analysis (POA) mifumo iliyorahisishwa katika matumizi na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma.

Akifungua mafunzo hayo Juni 4, 2018 katika Hoteli ya Bukoba ELCT  Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera CP Diwani Athuman aliwakumbusha washiriki wa mafunzo kuwa usimamizi wa fedha za Umma lazima unaendane na maboresho yanayoendelea ndani ya Serikali ambapo Halmashauri zote pamoja na vituo vyake vya kutolea huduma  zinatumia mifumo mingi zaidi ya Mfumo wa Epicor.

CP Athumani aliitaja mifumo hiyo kuwa ni Mfumo wa ukusanyaji wa Mapato (LGRCIS), Mfumo wa Vituo vya Kutolea Huduma za Afya, ambao unapokea mapato ya papo kwa papo (Cost Sharing) na kutunza taarifa za wagonjwa (GoT-HoMIS), Mfumo wa taarifa za kihasibu kwenye Vituo vya Kutolea huduma (FFARS) pamoja na mfumo ulioboreshwa wa kuandaa Mipango na Bajeti (PlanRep).

“Uwepo wa mifumo hiyo unapelekea uhitaji wa kuunganishwa mifumo hiyo ili iwe rahisi katika upatikanaji wa taarifa kwa ngazi zote na kwa wadau wengine wa maendeleo. Aidha, mafunzo hayo yatapunguza changamoto za utoaji taarifa hasa kutoka katika vituo vya kutolea huduma pamoja na kuunganisha taarifa hizo kwenye hesabu za Halmashauri, na  kutoa taarifa za utekelezaji wa mipango na bajeti kwa kuzingatia matumizi ya fedha yaliyofanyika.” Alisistiza CP Athuman.

Katika hutua nyingine Serikali inatarajia kuajiri katika Sekta ya Afya Watumishi wapya 7,680 (6,180 wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na 1,500 wa Wizara ya Afya) na mafunzo hayo ya siku mbili yamelenga kuziwezesha Halmashauri na Mikoa ili ziweze kutumia Mfumo wa WISN na POA iliyorahisishwa kusambaza watumishi wapya na katika kuomba watumishi wengine wapya.

Mafunzo hayo yaliwajumuisha watumiaji wa Mifumo ambao ni Waweka Hazina, Maafisa Usimamizi wa Fedha, Wahasibu, Maafisa TEHAMA, Afisa manunuzi na Wakaguzi wa Ndani. Mafunzo hayo yaliendeshwa na wakufunzi kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) wakishirikiana na Wataalam kutoka Mradi wa PS3.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.