• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Kituo cha Mafuta Smart Oil Kinachopatikana Manispaa ya Bukoba na Kukidhi Viwango vya EWURA vya Kutoa Huduma kwa Walaji

Posted on: October 9th, 2017

EWURA Yawaelimisha Wafanyabiashara wa Mafuta Kagera Ili Kutoa Huduma Bora kwa Walaji

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) yatoa elimu kwa watoa huduma ya Mafuta (Wafanyabiashara ya mafuta) Mkoani Kagera lengo kuu likiwa ni kuwaelimsha jinsi ya kutoa huduma zao kwa walaji (Watumiaji wa Mafuta) na kufuata sheria na kanuni katika kufanya biashara zao.

Akitoa mada juu ya Sheria na Kanuni katika udhibiti wa sekta ya Petroli nchini Mhandisi Godwini Samwel Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA alisema kuwa Mamlaka inatoa elimu kwa Wafanyabiashara nchi nzima ili wazielewe sheria na kanuni za kuendesha biashara za mafuta ili Mamlaka isiwatoze faini kwa kukiuka sheria na kanuni  kumbe hawakuelimishwa awali na Mamlaka hiyo.

Aidha, Mhandisi Samweli alisema kuwa Mamlaka inatoa elimu kwa wafanyabiashara wa mafuta wazijue vizuri Sheria na kanuni za kuendesha biashara hiyo  ili kumlinda mlaji ambaye ni mtumiaji wa mafuta naye apate mafuta yenye viwango kwa bei sahihi na katika mazingira yanayokidhi viwango vya kutolea huduma hiyo.

Katika semina hiyo wafanyabiashara wa Mkoa wa Kagera walitoa changamoto zao katika kuendesha biashara za mafuta ikiwa ni pamoja na EWURA na Mamlaka nyingine kuchelewesha  taratibu za utoaji wa vibali vya kuanzisha vituo vya mafuta ambapo vibali hivyo huchukua muda mrefu zaidi ya mwaka tangu mwombaji aombe kupata leseni.

Akitoa majawabu ya changamoto hiyo Mhandisi Samweli alisema kuwa tayari Mamlaka (WEWURA) wamekaa na wadau wengine kama NEMC wanaohusika na usimamizi wa mazingira na kuwekeana mkakati  wa kuhakikisha utoaji wa vibali unakwenda haraka ili kutowakwamisha wafanyabiashara , mfano kwasasa  (EWURA) wanashughulikia  leseni kwa  siku 45 tu kama mwombaji atakuwa ametimiza vigezo vyote.

Wafanya biashara walioshiriki katika semina hiyo waliishukuru Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuwapa elimu juu ya sheria na kanuni za kuendesha biashara zao hasa uanzishwaji wa vituo vya mafuta kwani walikuwa wanapata changamoto hasa maeneo ya kuweka vituo vya mafuta  kwani kabla ya semina walifikiri kuwa vituo havitakiwi kuwekwa karibu na makazi ya wananchi.

Pongezi hizo zilitolwa baada ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Mhandisi Godwini Samwel kutoa ufafanuzi kuwa  hakuna sheria inayozuia kituo cha mafuta kujengwa karibu na makazi ya wananchi ispokuwa taratibu zote za usalama zikifuatwa. Pili alisema kuwa Vituo vya mafuta vinajengwa ili kuwahudumia wananchi kwahiyo ni bora vikawa karibu na wananchi ambao wanategemea kupata huduma hiyo.

Akifunga  Semina hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera Oktoba 9, 2017 Afisa Biashara wa Mkoa wa Kagera Bw. Isaya tendega alitoa wito kwa wafanyabiashara wa Kagera kuhudhuria semina kama hizo zinzpoitishwa na kusisitiza kuwa zina manufaa makubwa katika uendsha ji wa biashara ya mafuta na zinawapunguzia faini wafanyabiashra zisizokuwa za lazima.

Aidha, Bw. Tendega aliwashauri wafanyabiashara waliohudhuria wanaporudi makazini kwao wawaelimishe waenzao kwa kuwapatia makabrasha waliopewa katika semina hiyo ili wayasome na kuzijua Sheria na kanuni za uendeshaji wa  biashara za mafuta ili mkoa uwe na wafanyabiasha walio rasmi na kuondokana na biashara zisizorasmi.

Hadi sasa Mkoa wa Kagera una wafanyabiashara au wauzaji wa mafuta ambao ni rasmi wenye vituo 48 na wauzaji wasio rasmi 72. Jumla ya wafanya biashara ya mafuta yaani wauzaji ambao ni rasmi na wasiokuwa rami jumla ni 120.

Kati ya wadau waliopongezwa kwa kufuata sheria, Kanuni na taratibu za kuanziasha na kutoa huduma za biashara  ya   mafuta Mkoani Kagera ni Bw. Remigius Patrick (Maarufu kama Dk Remy) mwenye kituo cha Smart Oil Kibeta Manispaa ya Bukoba wafanyabiashara wameaswa kuiga mfano wake.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.