• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Maafisa Kilimo na Ugani ni Mwisho Kukaa Ofisini Sasa Umfika Wakati wa Kutoa Elimu Kwa Wakulima Mashambani – Mkuu wa Mkoa Gaguti

Posted on: August 10th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Marco E. Gaguti awaagiza Maafisa Kilimo na Maafisa Ugani kutokaa Ofisini bali wakawatembelee kuwafundisha na kutoa elimu ya kilimo chenye tija wakulima  katika Mkoa wa Kagera wenye fursa ya kustawisha mazao ya aina mbalimbali na masoko ya mazao hayo yapo ya kutosha.

Mkuu wa Mkoa Gaguti aliyasema hayo akifunga Maonesho ya Wakulima ya Nane Nane yaliyoadhimishwa kimkoa katika viwanja vya Kyakailabwa Manispaa ya Bukoba ambapo mara baada ya kutembelea mabanda mbalimbali ya wadau wa kilimo alisema sasa umefika wakati wa Wataalam wa kilimo kuwafuata wakulima na kuwapa elimu katika maeneo yao kuliko wakulima kuwafuata wataalam.

“Ninayo taarifa kuwa Kagera tunavyo viwanda vikubwa tisa lakini vinazalisha chini ya kiwango kutokana na kukosa mali ghafi zinazotakiwa kuzalishwa kutokana na kutopatikana kwa wingi. Sasa umefika wakati wakulima kuachana na kilimo cha mazoea cha kulima ekari kumi na kupata gunia 10 bali mkulima alime ekari moja avune gunia 20 za mazao, pia kuachana na ufugaji wa kufuga ng’ombe kumi na kupata lita 10 za maziwa bali mfugaji afuge ng’ombe mmoja apate lita 20 za maziwa.” Alifafanua Mhe. Gaguti

Mkuu wa Mkoa Gaguti alifafanua zaidi kuwa mkoa wa Kagera unayo fursa kubwa zaidi ya kilimo kwani hali ya hewa na ardhi yake inaruhusu kilimo cha zao lolote kwa hiyo wananchi wanatakiwa kuitumia fursa hiyo kuhakikisha wananlima mazao mbalimbali kwa wingi na masoko ya mazo hayo yapo kwakuwa Kagera inapakana na nchi tano ambazo ni fursa ya masoko ya mazao yanayolimwa.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwahakikishia wananchi katika maonesho hayo kuwa sasa Serikali inafanya upya tathimini ya Vyama vya Ushirika kuhakikisha vinamsaidia mkulima na vinakuwa na nyenzo kubwa ya kuhakikisha mazao ya wakulima yanapata masoko kwa wakati lakini si Vyama hivyo vya Ushirika kushiriki kuwanyonya wakulima.

Katika Hatua nyingine Mwenyekiti wa Maandalizi ya Maonesho ya Nane Nane Mkoa wa Kagera Bw. Isaya Tendega ambaye ni Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Uchumi na Uzalishaji Ofisi ya Mkuu wa Mkoa alisema kuwa changamoto kubwa katika maonesho hayo ni baadhi ya Taasisi muhimu za Serikali kutoshiriki katika maonesho hayo na wananchi wangependa kupata elimu kutoka kwao.

Akizitaja baadhi ya Taasisi hizo Bw. Isaya alisema kuwa ni pamoja na Taasisi ya Bima, Wakala wa Vipimo Tanzania, Wakala wa Majengo, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), Poilsi na Wengineo. Bw. Isaya alisisitiza kuwa Taasisi hizo ni muhimu sana kushiriki katika maonesho hayo kwani zinatoa huduma kwa wananchi na wangependa kupata elimu juu ya huduma zao.

Mkuu wa Mkoa Gaguti akifafanua namna ya kutatua changamoto ya Taasisi mbalimbali sa Serikali kushiriki katika Maonesho ya Nane Nane alitoa agizo kuwa lazima mwakani 2019 Taasisi za Serikali zinazotoa huduma kwa wananchi zishiriki ili kuwaelimisha wananchi kuhusu huduma wanazozitoa ili iwe rahisi kwao kupata elimu juu ya huduma hizo muhimu.

Kaulimbiu ya maonesho ya Nane Nane mwaka 2018 ilikuwa inasema “Wekeza katika Kilimo kwa Maendeleo ya Viwanda” na Mkoa wa Kagera ulikuwa unaadhimisha Maonesho ya Nane Nane kwa mara ya 11 mfurulizo ambapo wadau mbalimbali walishiri na mshindi wa kwanza katika maonesho hayo ni Kampuni ya Kagera Sukari inayotekeleza vizuri sera ya Tanzania ya Viwanda kwa kulima kisasa na kuzalisha Sukari.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.