• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mgogoro Kati ya Wafugaji na Wakaulima Kijiji Kashanda Wilayani Karagwe Sasa Kupatiwa Mwarobaini Wake – RC Gaguti

Posted on: September 4th, 2019

Mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu zaidi ya miaka kumi na kusababisha uvunjifu wa amani kati ya pande mbili za wananchi ambao ni  wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Kashanda Kata Bugene Wilayani Karagwe sasa kupatiwa ufumbuzi wa kudumu mara baada ya Mkuu wa Mkoa kuingilia kati ili kurejesha amani ya kudumu katika eneo hilo.

Baada ya kuwa anapokea malalamiko mengi kwa muda mrefu kuhusu Kijiji Kashanda Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti aliamua kufika eneo la kijiji hicho cha Kashanda Septemba 4, 2019 pamoja na Kamati yake ya Ulinzi na Usalama ili kujionea mwenyewe jinsi mgogoro ulivyo  ili uweze kuutolewa maamuzi sahihi.

Mhe. Gaguti alipofika katika eneo hilo la Kashanda alikuta ni eneo ambalo halina wananchi ambao wanaishi kama kijiji bali aliwakuta baadhi ya vijana kutoka Wilayani Ngara wakiwa wanafyeka miti na vichaka wakiendelea kulima katika maeneo mbalimbali wakidai kuwa nao wameajiriwa kulima na wamiliki wa maeneo hayo.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Gaguti hakukuta mifugo ya aina yoyote ile katika eneo hilo bali baadhi ya wakulima ambao walikuwa wamefyeka miti na vichaka ndani ya eneo hilo wakiendelea kulima kwa ajili ya msimu wa kupanda maharage na mahindi na mazao mengiyo.

Kwa maelezo kutoka katika uongozi wa Wilaya ya Karagwe wakiuelezea mgogoro huo walimweleza Mkuu wa Mkoa kuwa baada ya kutokea uvunjifu  wa amani mara kwa mara wakulima wakijihami na siraha za jadi kama mapanga, mikuki na upinde na wakiwashambulia wafugaji, wafugaji waliamua kuondoa mifugo yao katika eneo hilo ambalo walitengewa kwa kwaajili ya kulishia mifugo yao hasa ng’ombe.

Mkuu wa Mkoa Gaguti baada ya kutembelea eneo la kijiji hicho cha Kashanda na kuona hali halisi alisema kuwa amelielewa eneo lenyewe la mgogoro, pili ndani ya muda mfupi sana ataitisha kikao cha pamoja uongozi wa kijiji hicho cha Kashanda, uongozi wa Wilaya ya Karagwe pamoja na wataalam wote wa ardhi wanaohusika na atatoa maamuzi yenye maslahi mapana ya wananchi, Wilaya na Taifa kwa ujumla.

Kijiji cha Kashanda kipo Kata Nyakahanga Tarafa Bugene Wilayani Karagwe na kina hekta za mraba 3,370.319 na kiliandikishwa kwa hati namba KAG/KIJ 507 chini ya kifungu namba 22 cha sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) ya mwaka 1982 na hati hiyo ilitolewa tarehe 23 Mei, 1989.

Pamoja na kijiji cha Kashanda kuandiskishwa na kusajiliwa na Serikali hakikutajwa kama kijiji cha wafugaji bali kinatajwa kama vijiji vinginevyo vilivyosajiliwa na Serikali. Aidha, kwa maelezo ya wananchi wa eneo hilo pamoja na Wilaya ni kwamba kijiji Kashanda kilianzishwa kwa kumega maeneo ya vijiji vya Bishehe, Omulusimbi, Chonyonyo na Chabalisa ili wafugaji wapate sehemu ya kulishia mifugo yao lakini baadae eneo hilo lilianza kuvamiwa na wakulima.

Kutokana na mgogogo huo kusababisa uvunjifu wa amani wa mara kwa mara kati ya wafugaji na wakulima wanaolivamia eneo hilo Mkuu wa Mkoa Gaguti amesema kuwa sasa basi lazima mgogoro huo ufike mwisho na ijulikane wazi ni shughuli zipi zinatakiwa kuendelea kufanyika katika eneo hilo ufugaji au kilimo. “Nataka Mkoa wa Kagera migogoro ya ardhi ikomeshwe kabisha na uwe mkoa wa mfano.” Alimaliza kwa kusisitiza Mhe. Gaguti

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.