• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mkuu wa Mkoa Kagera Aja na Kampeini ya Siku Tatu ya Msaada wa Kisheria Kwa Wananwake Kutatua Kero Zao Zote za Unyanyaswaji

Posted on: June 21st, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti kuwakomboa wanawake ambao wamehangaika kwa muda mrefu kwa matatizo ya kunyanyaswa kijinsia, kudhurumiwa ardhi, migogoro ya mirathi, na kutelekezewa watoto ambapo ametenga siku tatu kufanya kampeini itakayojulikana kama “KAMPEINI YA MSAADA WA KISHERAI KWA WANAWAKE”  kwa kuwasikiliza na kutatua matatizo yao ndani ya siku tatu hizo.

Mkuu wa Mkoa wa Gaguti akiongea na Waandishi wa Habari ofisini kwake Juni 21, 2019 alisema katika mkoa wa Kagera kero nyingi ni za ardhi lakini pia wanawake wamekuwa wakipata matatizo makubwa upande wa ardhi, mirathi, kunyanyaswa kijinsia pia kutelekezewa watoto jambo ambalo linawafanya wengi wao kufika mara kwa mara ofisini kwakwe kuwasilisha malalamikoa yao.

Kutokana na changamoto hiyo Mkuu wa Mkoa Gaguti alisema kuwa sasa ameamua kutenga siku tatu za Kapeini ya msaada wa Kisheria kwa wananwake  kuanzia tarehe 27 hadi 29 Juni, 2019 kuwasikiliza wanawake  na kutatua kero zao kwa kuzihusisha Idara na Taasisi zote za Serikali na zisizokuwa za Serikali zinazohusika katika usaidizi wa kisheria au zinazojihusisha na ustawi wa jamii.

“Badala ya mama kuja ofisini kwangu alafu niwaite wataalamu wa kunisaidi kusikiliza matatizo na kunishauri au kumtuma mama huyo kuangaika katika ofisi nyingine nimeamua kuwaleta Wataalam wote pamoja ili watoe utatuzi wa kero za wanawake kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na ushauri wa nini mwanamke au mama  aliye na kero afanye nini  ili kero  yake lifike mwisho.” Alifafanua Mkuu wa Mkoa Gaguti.

Katika Kampeini hiyo ya Msaada wa Kisheria kwa Kanawake Mkoani Kagera patakuwepo na Wanasheria zaidi ya 15 ikiwa ni pamajo na wanaotoka Shirika la MHOLA linalojihusisha na usaidizi wa kisheria kwa wanawake, Maafisa wa Polisi Kutoka Dawati la Jinsia, Maafisa Wapelelezi kutoka Jeshi la Polisi, Maafisa Kutoka TAKUKURU pamoja na Maafisa Ustawi wa Jamii ili kuhakikisha kila kero imepatiwa ufumbuzi.

Kampeini hiyo ya siku tatu ya Msaada wa Kisheria kwa Wanawake itatolewa bure bila gharama yoyote na  itafanyika Viwanja vya Gymkhana Manispaa ya Bukoba tarehe 27 hadi 29  Juni, 2019 kuanzia saa 2:00 asubuhi kila siku kwa siku hizo tatu na  itafanyika kwa mfumo wa kielektroniki ili kuweka kumbukumbu sahihi juu ya utatuaji wa kero za wananchi.

Wito wa Mkuu wa Mkoa Gaguti kwa wanawake Mkoani Kagera ni kujitokeza kwa wingi kuleta kero zao ili ziweze kupatiwa ufumbuzi lakini pia akina baba haswa wanaonyanyaswa kijinsia pia nao wanakaribishwa kusikilizwa ili kero zao zitatuliwe pamoja na mwananchi yeyeyote mwenye kero yake anaombwa kuwasilisha ndani ya siku tatu zilizotajwa ili zipatiwe ufumbuzi.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.