• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Dk. Magdalena Akitoa Maelzo ya Maharage Lishe Mbele ya Mkuu wa Mkoa na Mwakilishi wa FAO Katika Shamba la Viazi Lishe Maruku Chuo cha Utafiti wa Kilimo

Posted on: January 25th, 2018

Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa Tanzania Aridhishwa na Ufanisi wa Mradi wa Kusaidia Waathirika wa Tetemeko Mkoani Kagera

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania Bw.Fred Kafeero afanya ziara ya siku tatu Mkoani Kagera kuona shughuli za mradi wa kusaidia kaya 5000 katika Halmashauri za Bukoba, Bukoba Manispaa, Kyerwa Missenyi na Muleba zilizoathiriwa na Tetemeko la Ardhi Septemba 10, 2016.

Baada ya Tetemeko la Ardhi Septemba 10, 2016 Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) lilitoa msaada wa mbegu za mazao mbalimbali yanayovumilia ukame kama mihogo, viazi lishe, mahindi ya muda mfupi na migomba inayovumilia magonjwa, mbuzi wa maziwa, ufuaji wa kuku na ufugaji wa samaki ili kuzikomboa familia hizo 5000 na baa la njaa na kuinua kipato kwa ngazi ya familia.

Bw. Kafeero akiwa mkoni hapa na kutembelea baadhi ya kaya zinazonufaika na mradi FAO alisema kuwa ameridhishwa na ufanisi wa mradi huo katika kaya hizo ambapo mafanikio yanajionesha yenyewe kwa wanakaya hao kunufaika na mbegu ambapo mashamba yapo, ufugaji wa kuku na samaki unaendelea vizuri.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu akiambatana na Bw.Fred Kafeero katika ziara hiyo alimhakikishia Mwakilishi Mkazi huyo kuwa mkoa unafanya ufuatiliaji wa karibu sana kwa kaya 5000 zilizonufaika na mradi ili kuhakikisha zinakuza kipato kupitia mradi kwa kupata chakula pamoja na ziada ya kuuza na kupata kipato cha fedha.

Aidha, Mhe. Kijuu aliendelea kuwasisitiza wananchi wanaonufaika na mradi wa FAO kuhakikisha wanafanyakazi kwa kujituma ili mradi unapomalizika mwaka 2019 wawe wameweza kujikomboa katika shida za chakula pamoja na kipato pia kuiendeleza miradi yao wenyewe bila kutegemea Shirika la Umoja wa Mataifa.

Kwa ujumla Mradi FAO umeongeza uzalishaji wa chakula, umeongeza kipato kwa wananchi na kupunguza umasikini, umeboresha lishe kupitia maharage ya lishe (yenye madini ya chuma na zinki na protini) na viazi lishe vyenye vitamin A. Pia radi umeongeza uzalishaji na upatikanaji wa mbegu bora wa mazao yanayovumilia ukame na magonjwa.

Aidha, mradi umekua kiunganishi kati ya watafiti na wakulima kwenye teknolojia ya kilimo (Research Extension Farmer Linkage) kwa njia ya mafunzo kupitia Mashamba darasa (Farmer Field Schools FFS). Mradi tayari umetoa msaada wa mafunzo kwa kaya 2500 kuanzia Julai 2017 hadi sasa. Pia Bw. Kafeero baada ya kufurahishwa na kilimo kizuri cha mihogo aliwahaidi wakulima katika kijiji cha Nsambya kuwanunulia mashine ya kuchakata mihogo.

Aidha, gharama za mradi hadi Februari 2019 utakapokuwa umekamilika ni takribani Shilingi Milioni 700 Ziara ya Bw. Kafeero Mkoani Kagera ni ya siku tatu kuanzia tarehe 23 hadi 25 Januari, 2018.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.