• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mwenge wa Uhuru Mwaka 2019 Waendelea na Mbio Zake Mkoani Kagera Kwa Ukaguzi wa Kina wa Miradi ya Maendeleo ya Wananchi

Posted on: April 28th, 2019

Mwenge wa Uhuru ukiendelea na mbia zake na kukimbizwa Mkoani Kagera tayari umetembelea, kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo ipatayo 39 yenye thamani ya jumla ya shilingi bilioni 15,099,837,309 kati ya miardi 74 ya mkoa mzima yenye thamani ya shilingi bilioni 18,894,323,585.90

Tangu kupokelewa kutoka Mkoa wa Kigoma Aprili 24, 2019 Mwenge wa Uhuru 2019 tayari umekimbizwa katika Wilaya tano za Ngara, Karagwe, Kyerwa Missenyi na Bukoba ambapo katika Wilaya ya Bukoba umekimbizwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba leo Aprili 28, 2019.

Katika kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo inatakiwa kutoa huduma kwa wananchi au tayari inatoa huduma hizo, Mwenge wa Uhuru mwaka 2019 kupitia Kiongozi wake Mzee Mkongea Ali pamoja na wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa wenzake wamekuwa wakikagua miradi kwa umakini mkubwa kuhakikisha kuwa taratibu, kanuni na sheria pia viwango vya miradi hiyo kama vilizingatiwa wakati wa utekelezaji wa miradi hiyo.

Sambamba na ukaguzi huo pia Wakimbiza Mwenge Kitaifa wamekuwa wakikagua nyaraka mbalimbali za utekelezaji wa miradi na kuagiza kila nyaraka ya mradi mfano mikataba na ramani  kuwepo katika eneo husika la mradi jambo ambalo halikuzingatiwa ipasavyo na baadhi ya uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Ngara na Manispaa ya Bukoba na kupelekea jumla ya miradi mitano katika Halmashauri hizo kutokuzinduliwa au kuwekewa mawe ya msingi.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara miradi miwili ya (ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa, bwalo, bweni na maktaba shule ya Sekondari Murusagamba) na mradi wa maji Rulenge yenye jumla ya thamani ya shilingi 942,659,018 haikuwekewa jiwe la msingi na kuzinduliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa mwaka 2019 Ndugu Mzee Mkongea Ali kutokana na kukosekana kwa baadhi ya nyaraka muhimu za utekelezaji wa miradi hiyo.

Katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba jumla ya miradi mitatu kati ya kumi (Mradi wa Jengo la viwanda vidogo SIDO Rwamishenye, Mradi wa Maji Makongo Bushwa na Mradi wa Shule ya Msingi Tumaini) yenye jumla ya thamani ya shilingi bilioni 2,050,071,701 haikuzinduliwa kutokana na kukosa baadhi ya nyaraka muhimu wakati wa utekelezaji wake.

Mwenge wa Uhuru unaendelea na mbio zake Mkoani Kagera katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Aprili 29, 2019 Halmashauri ya Wilaya Muleba Aprili 30, 2019 na utahitimisha mbio zake Wilayani Biharamuo Mei Mosi, 2019 na kukabidhiwa Mkoani Geita Mei 2, 2019.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.