• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Natamani Kuona Mwalimu wa Kagera Anastaafu Akiwa Tajiri Benki Kuna Fedha Zinasubiri Maandiko Yenu ya Miradi – RC Gaguti

Posted on: September 24th, 2019

Kama kuna mtumishi yeyote awe hapa au nje ya hapa tena ambaye ni mwalimu hajishughulishi kukopa kwenye taasisi za kifedha huyo anaishi tu hawezi kupata maendeleo kamwe bali atabakia kubadili mboga kila siku na kuvaa suti au kubadilisha mavazi mpaka anastaafu katika utumishi wake wa uma.

Maneno hayo yalisemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti  Septemba 23, 2019 wakati akifungua kongamano la Walimu na Benki ya NMB Bukoba katika siku ya walimu kwenye ukumbi wa Hoteli ya ELCT Bukoba .

Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwaeleza walimu hao ambao ni wadau wakuu wa Benki ya NMB kuwa wanayo kila haki ya kufurahia maisha yao kwani Serikali inawajali lakini pia Benki ya NMB imeboresha maisha yao kupitia mikopo ambayo inawafanya wafanye kazi zao kwa uhakika na umairi mkubwa.

Mhe. Gaguti alisema kuwa mkoa wa Kagera umekuwa ukifanya vizuri katika mitihani mbalimbali ya kitaifa lakini sababu kubwa ni kuwa walimu wanafanya kazi yao kwa kuridhika ikiwa ni pamoja na Serikali kuwajali kwa kuwalipa mishahara na stahiki zao lakini pia Benki ya NMB imewafanya waboreshe maisha yao kwa mikopo.

“Nikiwaangalia hapa naziona nyuso za matumaini zenye bashasha na furaha  lakini niwaeleze ukweli ni kwamba hata mimi baba na mama walikuwa walimu na tayari wamestaafu, kwa maisha ya sasa ya fursa zilizopo walimu waliostaafu wanatamani sana kurudi kazini kwani zamani fursa hizi za sasa  hazikuwepo na sababu nyingine ni Benki ya NMB nayo imechangia sana kuboresha maisha yao”. Alisisitiza Mhe. Gaguti.

Mkuu wa Mkoa Gaguti alito rai kwa benki ya NMB kuona namna ya kuwapunguzia riba walimu sababu ni wadau wakubwa wa benki hiyo tangu mwanzo. Pia aiwataka walimu kutanua wigo wa kuunda vikundi vya pamoja mafano kwenye Kata na kuomba mikopo ya miradi mikubwa na ya pamoja ili kuinua vipato vyao hasa pale wanapostaafu. 

Naye Bw. Omari Mtiga Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi akieleza dhumuni la kukutana na walimu hao  alisema kuwa ni kuwaelimisha juu ya huduma zao mpya ikiwa ni pamoja na kusikiliza maoni yao juu ya huduma za Benki ya NMB wakiwa kama wadau wakubwa wa benki hiyo. Aidha, Bw. Mtiga alisema kuwa walimu wameanzia mbali na Benki ya NMB enzi za kufanya kazi kwa makaratsi hadi sasa enzi za digitali bado ni wateja wao wakubwa.

Mwalimu Thomas Ngirwa Mkuu wa shule ya Sekondari Bukara kwaniaba ya walimu wenzake alisema kuwa Benki ya NMB ni mkombozi kwa walimu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla kwani alisema kuwa shule yake ya Bukara imewahi kupata msaada wa madawati sitini kwa ajili ya wanafunzi ikiwa naye binafsi amekuwa akikopa fedha kutoka NMB kwaajili ya kusomesha watoto wake.

Mwisho, Mkuu wa Mkoa Gaguti alitoa rai kwa walimu hao kuwa mabalozi wazuri wa kulipa kodi kwa kuwa mkoa wa Kagera bado haufanyi vizuri katika kodi ambazo zinajenga miradi ya maendeleo kwa wananchi. “Popote mtakaposimama au kupata nafasi toeni elimu kwa kila mwananchi kununua bidhaa adai risiti na kuwahamasisha wanaouza kutoa risisti, walimu mna nguvu kubwa katika jamii”. Alihitimisha Mhe. Gaguti

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 23.8

    September 07, 2025
  • Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025 Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 23.8

    September 07, 2025
  • Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Kagera Yafungu Dawati Maalu la Uwezeshaji Wafanyabiashara

    September 03, 2025
  • Nsekela Stadium Yazinduliwa Rasmi Kyerwa - Kagera

    August 29, 2025
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.