• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

RC- Gaguti Azindua Rasmi Msimu wa Ukusanyaji wa Kahawa Kagera 2019 Bei ya Malipo Awali Yatangazwa Vyama Vikuu Vya Ushirika Kuanza Kulipa Julai Mosi 2019

Posted on: June 29th, 2019

Msimu wa ukusanyaji wa kahawa mwaka 2019/20 kutoka  kwa wakulima hadi Vyama vya Msingi wazinduliwa  rasmi  Mkoani Kagera ikiwa ni pamoja na malipo ya kwanza kutangazwa kwa vya Vikuu vya Ushirika vya KCU 1990 Limited na KDCU Limited kuwa yatakuwa ni shilingi 1,100 kwa kila kilo moja ya maganda.

Akizindua rasmi msimu huo wa ukusanyaji wa kahawa Juni 29, 2019 Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gagiuti Wilayani Kyerwa Nkwenda aliwahakikishia wakulima kuwa msimu huu wa 2019/2020 Serikali imejipanga kuondoa changamoto zote zilizojitokeza msimu uliopita na mkulima atanufaika na kahawa yake na kulipwa kwa wakati.

Mkuu wa Mkoa  Gaguti akiongea na wakulima wa Kahawa na wananchi waliokusanyika kumsikiliza  Nkwenda Kyerw alisema kuwa tayari Vyama Vikuu vya Ushirika Mkoani Kagera tayari vimepewa Shilingi Bilioni saba na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania aidha,  wakulima ambao tayari wamekusanya kahawa yao kwenye Vyama vya Msingi wataaanza kulipwa malipo ya awali ya shilingi 1,100/= kwa kila kilo kuanzia Julai 1, 2019.

Mhe. pia Gaguti alisema kuwa Serikali imejipanga vizuri msimu huu wa 2019/2020 kuhakikisha wakulima wanalipa fedha zao kwa wakati ikiwa ni pamoja na kuhakikisha fedha hizo hazipiti katika mikono mingi ya viongozi wa Vyama vya Msingi bali kila mkulima atalipwa fedha zake kupitia akaunti yake ya benki ili kudhibiti upotevu wa fedha zilizokuwa zianapotea au kutumika bila idhini ya wakulima wenyewe.

Naye Mtendaji Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Bw. Japhet Justine akiongea na wakulima Wilayani Kyerwa Nkwenda alisema kuwa Benki ya TADB  mwaka jana 2018 ilitoa zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa wakulima 148,000 na mwaka huu watahakikisha wanatoa fedha kwa wakati na imfikie mkulima moja kwa moja kupitia mfumo wa benki.

“Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alizindua akaunti jumuishi za wakulima ili wakulima wasikatwe fedha zao hata kama ni senti moja ilipwe moja kwa moja kwa mkulima na sisi TADB tutahakikisha tunalipa fedha hizo kupitia akaunti za benki.”Alisistiza Mtendaji Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania Bw. Japhet.

Katika kuondoa changamoto za msimu uliopita wa mwaka 2018 Mkuu wa Mkoa Gaguti akikagua Chama cha Msingi Rwabwere na kujionea namna ya kupima kahawa za wakulima alisema kuwa lazima kilo zote na pointi ziandikwe na mkulima ahakikishe. Pia fedha za mazidio za wakulima zisitolewe maamuzi na viongozi wa Vyama vya Msingi bali wakulima wenyewe ndiyo waamue zifanye nini.

Aidha, mkuu wa Mkoa Gaguti na ujumbe wake walikagua shamba bora la mkulima Bw. Abdu Ndegeza na kuona kahawa bora na zilizokomaa zikivunwa. Tayari Chama Kikuu cha Ushirika cha KDCU Limited tayari kimekusanya kilo milioni 3,200,000 matarajio yake ni kukusanya kilo milioni 35,000,000. Msimu wa Mwaka jana 2018 Vyama Vikuu vya Ushirika Mkoani Kagera vilikusanya jumla  kilo milioni 58.9  na msimu huu vyama hivo vinatarajia kukusanya zaidi kilo milioni 52.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.