• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

RC Kagera Azindua Maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru Na 57 ya Jamhuri Kwa Kuwaongoza Wananchi Kufanya Usafi na Kujitolea Kuchangia Damu

Posted on: December 4th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti azindua rasmi maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaongoza wananchi , Viongozi wa Taasisi mbalimbali  za Serikali na zisizo za Serikali na watumishi walio chini ya taasisi hizo kufanya usafi katika soko kuu la Bukoba  na kuchangia damu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera.

Mara baada ya kushiriki usafi ndani na nje ya Soko Kuu la Bukoba Mkuu wa Mkoa Gaguti aliongea na wananchi waliokusanyika kufanya usafi pamoja naye na kuwaeleza maudhui ya  maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru na miaka 57 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaeleza kuwa mwaka huu 2019 maadhimisho hayo yanaadhimishwa Kanda ya Ziwa ambapo mikoa miatano inashiriki kwa kufanya shughuli mbalimbali.

“Maadhimisho hayo yanaadhimishwa Kitaifa Mkoani Mwanza ambapo na mikoa ya Kanda ya Ziwa ya Kagera, Mara, Shinyanga, Simiyu na Geita inashiriki  na mkoa wetu wa Kagera sisi tumezindua rasmi maadhimisho hayo  leo kwa  kushiriki pamoja na wananchi kufanya usafi wa soko letu  pia kujitolea damu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa wahitaji ili kunusuru maisha yao.” Alifafanua Mkuu wa Mkoa Gaguti

Vilevile aliwaeleza wananchi hao kuwa wabunifu katika biashara zao ili kukuza uchumi na kipato chao lakini wakiwa wazalendo wa nchi yao, na aliwataka kila mmoja kuwa mlinzi wa nchi yake na kutumia fursa ya uwepo wa nchi jirani za Rwanda, Burundi Uganda , Congo DRC na Sudani Kusini kufanya biashara na kuufanya mkoa wa Kagera kukua zaidi kiuchumi.

Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwaeleza wananchi hao kuwa Mkoa wa Kagera unayo sababu kubwa ya  kusherehekea na kuadhimisha miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri mkoa umenufaika kupitia katika Sekta ya mbalimbali akitaja chache alisema kuwa tayari Serikali ya Awamu ya Tano mkoani Kagera  imejenga Vituo 14 vya Afya kwa shilingi bilioni 5.9 Hospitali tatu za Wilaya kwa gharama ya shilingi bilioni 4.5

Sekta ya Miundombinu Meli ya MV Victoria inakarabatiwa kwa gharama ya shilingi bilioni 22.8 na mwakani 2020 mwezi Machi inaanza safari zake tena katika Ziwa Victoria kutoka Mwanza kwenda  Bandari za Bukoba na Kemondo.  Katika Sekta ya Elimu tayari Serikali imetoa  jumla ya shilingi bilioni 3.4 Kukarabati shule kongwe za Kahororo, Bukoba, Kagemu na Rugambwa na ukarabati unaendelea.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwaongoza wananchi na viongozi mbalimbali kuchangia  damu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ambapo mpaka anaondoka katika eneo hilo tayari chupa 63 zenye ujazo wa nusu lita za damu zilikuwa zimekusanywa malengo yakiwa ni kukusanya chupa 400 kwa siku hiyo tu.

Kilele cha Maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni tarehe 9 Desemba 2019 Mkoani Mwanza na Kaulimbiu ya Maadhimisho hayo ni “Miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya Jamhuri: Uzalendo, Uwajibikajina Ubunifu ni Msingi wa Ujenzi wa Uchumi na Taifa letu.”

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.