• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Ujio wa Madaktari Bingwa na Kliniki Tembezi Katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera Kuanzia Tarehe O5 Hadi 11 Novemba, 2018

Posted on: November 1st, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti anapenda kuwataarifu Wananchi wa Mkoa wa Kagera na nje ya Mkoa kuwa Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wameandaa Kliniki tembezi ya Madaktari Bingwa wa fani mbalimbali itakayofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa (Government) kuanzia tarehe 05 – 11 Novemba, 2018.

Ikiwa ni mara ya pili kutekeleza zoezi hilo la huduma za kibingwa katika Mkoa wa Kagera kutakuwa na Madaktari Bingwa kati ya 28 hadi 34 kutoka Hospitali za Kanda za Bugando, KCMC, Hospitali ya Rufaa ya Mbeya,  Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete na baadhi ya Hospitali za Rufaa za Mikoa. Madaktari hao Bingwa wanatarajia kutoa huduma katika magonjwa ya Uzazi na kizazi kwa wanawake, Magonjwa ya upasuaji kwa jumla, Magonjwa ya njia ya mikojo ikiwemo tezi Dume, Magonjwa ya pua, sikio na koromeo.

Magonjwa mengine yatakayoshughulikiwa na Madaktari Bingwa ni pamoja na Magonjwa ya mifupa, Magonjwa ya moyo, Magonjwa ya ndani ikiwemo sukari na figo, Magonjwa ya watoto, Magonjwa ya Afya ya kinywa na meno, Magonjwa ya macho, Magonjwa ya Ngozi, Magonjwa ya afya ya akili, na Saratani ya Mlango wa kizazi.

Mkuu wa Mkoa Gaguti anatoa rai kwa wananchi hasa wenye matatizo mbalimbali ya kiafya kuchangamkia fursa ya Madakitari Bingwa kwani gharama za kuwaona Madaktari hao zitakuwa nafuu sana ukilinganisha na gharama za kuwafuata Madaktari Bingwa Katika Vituo vyao vya kazi kama Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Hospitali ya Rufaa ya Bugando au KCMC Moshi ikiwa ni pamoja na gharama za kusafiri na kuishi huko wakati ukisubiri kumuona Daktari Bingwa.

Mkuu wa Mkoa Gaguti anasisitiza kuwa (Mwananchi) mgonjwa kumuona Daktari Bingwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera itakuwa ni shilingi 10,000/= (Elfu kumi tu) kwa magonjwa yote isipokuwa magonjwa ya moyo itakuwa ni shilingi 15,000/= (Elfu kumi na tano tu). Gharama hizi ni nafuu sana ukilinganisha na gaharama ya shilingi 25,000/= hadi 40,000/= kumuona Daktari Bingwa akiwa katika kituo chake cha kazi kwa magonjwa yote na magonjwa ya moyo shilingi 40,000/= hadi shilingi 50,000/=.

Aidha, gharama za upasuaji nazo zitakuwa nafuu sana, upasuaji katika magonjwa yote gaharama yake itakuwa katai ya shilingi 60,000/= hadi 100,000/= tu ambapo itakuwa nafuu sana ukilinganisha na gharama za upasuaji Madaktari Bingwa wakiwa katika vituo vyao vya kazi ambapo huanzia shilingi 300,000/= hadi shilingi 1,500,000/=.

Pia Mhe Gaguti anawakumbusha wananchi kuwa zoezi la kuwaleta Madaktari Bingwa Mkoani Kagera kwa kiasi kikubwa litagharamiwa na Serikali ili kuhakikisha wananchi wake wanasogezewa huduma za matibau karibu.

“Katika zoezi tulilotekeleza Septemba 18 hadi 24, 2017 tuliweza kuwahudumia wananchi takribani 3,146 na mwaka huu 2018 tumelenga kuwahudumia wananchi 4,000 hadi 5,000 kwa kuwa tumeongeza wigo wa Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo na tunatarajia wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo nao watapata  huduma za kibingwa.” Alifafanua Mkuu wa Mkoa Gaguti.

Mwisho Mkuu wa Mkoa Gaguti anatoa Wito kwa wananchi ambao wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali kuchangamkia fursa hiyo, na Serikali ya Mkoa wa Kagera  imejipanga vizuri katika Dawa, vipimo, na katika utoaji wa huduma ili kuhakikisha Madaktari  Bingwa wanawahudumia wananchi kwa uhakika na kikamilifu zaidi.

Wananchi wenye matatizo ya kiafya wajitokeze kwa wingi ili kupata huduma za kibingwa lakini pia kwa kuwa muda utakuwa mfupi wa siku saba tu kuanzia tarehe 5 hadi 11, Novemba, 2018 wananchi mnakumbushwa kuwahi kuanzia tarehe 5 Novemba, 2018.


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.