• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Wahifadhi wa Msitu wa Biharamulo Wakitoa Maelezo Kwa MKuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Kijuu waPili Kutoka Kulia

Posted on: August 22nd, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Atoa Maagizo Makali Kwa Wananchi na Watendaji wa Serikali Wanaoendelea Kukaidi Maagizo ya Rais Magufuli 

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu afanya ziara katika Misitu ya Hifadhi ya Biharamulo na Nyantakala Wilayani Biharamulo kuona kama agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli wavamizi wa misitu hiyo kuondoka mara moja alilolitoa tarehe 19 Julai, 2017 alipofanya ziara yake Mkoani Kagera.

Rais Magufuli akiwa Wilayani Biharamulo Julai 19, 2017 aliagiza wavamizi wote wa Misitu ya Asili na Wafugaji waliovamia Mapori ya Akiba kuhakikisha wanaondoka mara moja katika hifadhi na watakaokaidi  wachukuliwe hatua za kisheria.

Hatua hiyo ilitokana na operesheni ondoa mifugo iliyofanyika Mkoani kagera kunusuru Misitu ya asili, mapori ya akiba na vyanzo vya maji ambavyo vilikuwa vimevamiwa na kuharibiwa kwa kiwango kikubwa kwa kukata mkaa, kuendesha kilimo na kuingiza mifugo katika Misitu na Mapori ya Akiba.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu akitembelea Misitu ya Biharamulo na Nyantakala Wilaya Biharamulo Agosti 22, 2017 bado alikuta shughuli za uharibifu wa uchomaji wa mkaa katika misitu hiyo ukiwa unaendelea kwa baadhi ya wananchi wachache, pia waliokaidi kuondoka katika makazi waliyoyaanzisha katika Misitu hiyo jambo ambalo lilipelekea atoe maagizo makali kama ifuatavyo;

Mkuu wa Mkoa Kijuu alimwagiza Afisa Misitu wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo kufikia tarehe 26 Agosti, 2017 awe amesitisha mara moja vibali vyote vya  umiliki na uvunaji wa miti kwenye mashamba ambayo yanamilikiwa na wananchi yaliyopo  jirani na Hifadhi za Misitu ya Biharamulo na Nyantakala kwa kuwa wamiliki hao wanayatumia mashamba hayo ya miti kama ngao huku wakifanya uhribifu wa uchomaji mkaa katika misitu hifadhi.

Agizo la pili, Mwenyekiti wa Kijiji cha Mpago Bw. Yasin Mahanga asimamie uvunjwaji wa matuta yanayozuia maji kupita katika mkondo wake kwenye bonde la msitu Nyantakala pia kuwaondoa wananchi wote wanaoendesha kilimo katika bonde hilo mara moja na kumzuia mwananchi anayewatoza fedha wafugaji kunywesha maji  mifugo yao katika lambo lililopo katika bonde hilo kuacha  tabia hiyo mara moja vinginevyo atachukuliwa hatua za kisheria.

Agizo la tatu la Mkuu wa Mkoa Kijuu ni kwa wananchi waliovamia na kuanzisha makazi katika Msitu wa Nyantakala na kuyabatiza makazi hayo jina la MOMBASA RAHA kuondoka mara moja ifikapo tarehe 9 Septemba, 2017. Wasipoondoka wenyewe  hadi tarehe 10 Septemba, 2017 Mhe. Kijuu ameagiza Jeshi la Polisi kuvunja makazi hayo na kuwalazimisha wananchi wavamizi kuondoka kwa lazima.

Mhe. Kijuu anaendelea na ziara ya katika Mapori ya Akiba ya Burigi na Kasindaga kujionea mwenyewe kama agizo la Rais John Pombe Magufuli limezingatiwa na kutekelezwa kikamilifu.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.