• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Wawekezaji Kutoka Nchi Jirani Sasa Wapishana Kuchangamkia Uwekezaji Kagera ni Baada ya Wiki ya Uwekezaji Kuwaonesha Fursa

Posted on: September 11th, 2019

Juhudi za viongozi wa mkoa wa Kagera kuufanya mkoa huo kuwa kitovu cha uchumi wa nchi za Afrika Mashariki na Kati zilizoanzia katika Wiki ya Uwekezaji Kagera sasa zaanza kuzaa matunda ni baada ya kundi la wawekezaji kutoka nchi jirani ya Rwanda kuitikia wito wa kuwekeza mkoani humo.

Kundi la Wawekezaji kumi wanaomiliki mampuni mbalimbali ya biashara nchini Rwanda walioamua kuunda Kampuni moja ya uwekezaji mkoani Kagera katika Sekta ya ufugaji wa kisasa na kuanzisha kiwanda cha kusindika nyama waliwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti ili kumweleza nia yao na kuwa wapo tayari kuwekeza katika ufugaji na kiwanda cha kusindika nyama.

Bw. William Kawamala kiongozi wa wawekezaji hao kumi kutoka nchini Rwanda alimweleza Mkuu wa Mkoa Gaguti kuwa wapo tayari kuwekeza katika sekta ya ufugaji  wa kisasa wa ng’ombe katika Kampuni za  Ranchi za Taifa (NARCO) baada ya kupata fursa hiyo katika Wiki ya Uwekezaji Kagera iliyofanyika tarehe 12 hadi 17 Agosti, 2019.

“Sisi baada ya kushiriki Wiki ya Uwekezaji Kagera tulivutiwa kuwekeza katika Sekta ya ufugaji, na tuliporudi kwetu nchini Rwanda tilikaa pamoja na kukubaliana tujiunge kwa pamoja wafanyabiashara kumi ili kuanza uwekezaji mara moja, ndiyo maana tupo hapa ili kuanza hatua za awali pia tumekuja kuona maeneo ya kufugia na kuweka kiwanda..”  Alifafanua Bw. Kawamala

Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwakaribisha wawekezaji hao na kusema kuwa mkoa upo tayari kuwapa ushirikiano,  hatua ya kwanza alimwelekeza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NARCO Prof. Philemon Wambula pamoja na baadhi ya wataalam kutoka Sekretarieti ya mkoa  kuwaonesha maeneo yaliyotengwa ili wakubaliane nayo na taratibu  za kusajili kampuni na kuanza uwekezaji zianze mara moja.

“Baada ya Wiki ya Uwekezaji mwitikio umekuwa mkubwa sana wa wawekezaji kuja kwetu kuchangamkia fursa zilizopo Kagera na sisi tumejipanga tunawapokea na kuwaelekeza taratibu za uwekezaji, lakini jukumu letu ni kuhakikisha fursa zote ambazo wawekezaji wameziona wanazitumia katika uwekezaji ili kukuza uchumi wa mkoa wetu.” Alisisitiza Mkuu wa Mkoa Gaguti

Profesa Philemon Wambula Kaimu Mkurugenzi wa Kampuni za Ranchi za Taifa (NARCO) alisema kuwa mkoa wa Kagera bado una fursa kubwa za uwekezaji katika sekta ya mifugo hasa katika viwanda vya kusindika nyama na maziwa pia uwekezaji katika malisho ya mifugo aidha, NARCO bado inayo maeneo makubwa ya kuwekeza.

Wawekezaji hao kumi walieleza kuwa baada ya kuona maeneo wanataka kuwekeza katika ufugaji wa kisasa wa ng’ombe, ujenzi wa kiwanda cha kuchinja na kusindika nyama kwa viwango vya kimataifa. “Kwasasa baadhi ya Hoteli kubwa nchini Rwanda zimeanza kuagiza nyama kutoka nchi za Ulaya wakati tukifuga kisasa hapa Kagera tunaweza kuilisha Rwanda.”  Walisisitiza Wawekezaji hao kutoka nchini Rwanda.

 

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.