• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe. Kijuu (Kulia) Akikagua Stoo ya Dawa Rubale Halmashauri ya Wilaya Bukoba

Posted on: September 14th, 2017

Wazee Mkoani Kagera Wanufaika Na Vitambulisho Vya Kupatiwa Huduma Za Afya Bure Na Mapambano Dhidi Ya Malaria Yaendelea

Mkuu wa Mkoa Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu afanya ziara ya kukagua huduma za afya Mkoani Kagera na kuzindua unyunyiziaji wa dawa ya kuua viluilui katika mazalia ya mbu ili kupunguza tatizo la malaria mkoani hapa.

Ziara hiyo iliyoanza tarehe 12 Septemba, 2017 katika  Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba  Mhe. Kijuu alizindua ugawaji wa vitambulisho vya kupata huduma ya afya kwa wazee ili watibiwe katika vituo vya afya bure bila malipo yoyote.

Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa alilenga kukagua na kujihakikishia uwepo wa dawa katika vituo mbalimbali vya afya kwa ajili ya kutoa huduma kwa wananchi. Pili alilenga kuhamasisha wananchi kujikinga na kuchukua hatua za kupambana na ugonjwa wa Malaria ili kupunguza maambukizi ya ugonjwa huo katika Mkoa wa Kagera.

Aidha, Mkuu wa Mkoa alilenga kuhamasisha vituo vyote vya afya kutumia mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielekitroniki ili kuongeza mapato yatayoboresha huduma kwa wananchi. Katika ziara hiyo Mhe. Kijuu alijihakikishia kuwa dawa zipo za kutosha kwenye vituo na kutoa rai kwa wananchi kufika katika vituo hivyo pindi wanapohisi wanaumwa ili kupatiwa huduma za matibabu.

Katika ziara hiyo Mhe. Kijuu aliwasistiza watendaji wa Halmashaui za Wilaya kuhakikisha wazee wanapatiwa vitambulisho na kusema kuwa wazee hao wakati wa ujana wao walizalisha na kulitumikia taifa kwa nguvu zao zote na sasa ni wakati wao kuhudumiwa hasa kupatiwa huduma za afya bure bila kutozwa fedha zozote.

Aidha, Mhe. Kijuu alimpongeza Rais John Pombe Magufuli ambaye naiongoza Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwakumbuka wazee na kuwapatia vitambulisho ambavyo vitawaruhusu wazee wa Tanzania kupatiwa huduma za afya bure bila malipo.

Katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba tayari wazee 900 wametambuliwa na kupewa vitambulisho, Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi tayari wazee 1500 wametambuliwa na wanatarajiwa kupatiwa vitambulisho na Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Zaidi ya Wazee 200 tayari wamepatiwa vitambulisho vya kupatiwa huduma ya afya bure.

Agizo ni kuwa Halmashauri zote zinatakiwa kuwatambua wazee na kuwapatia vitambulisho hivyo. Aidha Mhe. Kijuu aliziagiza Halmashauri zote kuhakikisha zinanyunyizia dawa ya kuua viluilui katika madimbwi, kandokando ya mito ili kuharibu mazalia ya mbu, pia kuhakikisha Halmashauri zote zenye shehena ya dawa katika maghara ya dawa, dawa hizo zisambazwe  vituoni ili kutoa huduma kwa wananchi.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera Dk. Thomas Rutachunzibwa katika ziara hizo alitoa rai kwa watendaji  wa Halmashauri kuona umuhimu wa kufunga mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielekitroniki ili kuongeza mapato katika vituo hivyo jambo ambalo litaboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi na kuacha utegemezi na vituo kujiendesha vyenyewe kwa makusanyo yao wenyewe.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu alitembelea vituo vya afya Rubale Wilayani Bukoba, Buyango na Bunazi Wilayani Missenyi, pia na Kituo cha Afya Zamzam Manispaa ya Bukoba. Vilevile alitembelea maeneo dawa ya kuua viluilui inakonyunyiziwa hasa katika madimbwi na maji yaliyotuhama.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.