• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Waziri Jaffo Apongeza Ushirikiano wa Wananchi wa Nyakazi Biharamulo Katika Kutekeleza Miradi ya Maendeleo

Posted on: August 10th, 2018

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Seleman Jaffo awapongeza wananchi wa Kata ya Nyakanazi Wilayani Biharamulo Mkoani Kagera kwa ushirikiano wao wa kuchangia na kushiriki katika kutekeleza miradi ya maendeleo hasa ujenzi wa Kituo cha Afya Nyakanazi ambacho kimekamilika ujenzi wake baada ya Seriakli kutoa Shilingi milioni 500 ili kiweze kuboreshwa na kutoa huduma muhimu za afya kwa wananchi.

Waziri Jaffo aliyasema hayo Agosti 9, 2018 alipofanya ziara ya siku moja na kutembelea na kukagua ujenzi wa kituo hicho ambapo alisema kuwa amaeridhishwa na ujenzi ulivyofanyika kuwa ni kiwango kinachoridhisha na thamani ya fedha iliyotolewa inaonekana katika majengo yaliyojengwa na mengine kukarabaitiwa.

“Nawapongeza wananchi wa Kata ya Nyakanazi kwa kujitoa kushirikiana na Serikali kuhakikisha kituo hiki cha Nyakanazi kinajengwa na kukamilika, nyinyi wananchi mmekuwa mstari wa mbele kutekeleza wajibu wenu pale mlipotakiwa kufanya hivyo na ndiyo maana kituo chenu kimekalika.” Alifafanua Waziri Jaffo.

Waziri Jaffo alizidi kusisitiza kuwa nia ya Serikali ni kuhakikisha wananchi wake wananpata huduma bora hasa akinamama wajawazito katika suala la upasuaji wakati wa kujifungua sasa tatizo hilo limefika mwisho baada ya kituo hicho kukamilika. Aidha, Waziri Jaffo aliongeza kuwa Serikali baada ya kuridhishwa na ujenzi ulivyotekelezwa katika kituo hicho imetoa tena shilingi milioni 400 nyingine za kujenga kituo kingine katika Halmashauri ya Wilaya Hiyo ya Biharamulo.

Pamoja na kuupongeza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Waziri Jaffo alitoa tahadhari kwa Halmashauri hiyo kusimamia mapato ambapo alisema Biharamulo haifanyi vizuri katika kukusanya mapato. Pia aliagiza kuitishwa kwa Balaza Maalum la Madiwani ili kujadili ripoti ya Tume ya uchunguzi ilioundwa kuchunguza mapato yanavuja wapi na kama ikigundulika kuna watumishi waliohusika wachukuliwe hatua mara moja naye apewe taarifa.

Kituo cha Nyakanazi kimekamilika ujenzi wake kwa jumla ya shilingi milioni 700 ikiwa shilingi milioni 500 zilitolewa na Serikali kujenga majengo ya Wodi ya akinamama na watoto, Wodi ya watoto, chumba cha kuhifadhi maiti, Nyumbambili (Two in one) za watumishi na kukarabati chumba cha upasuaji. Pia shilingi milioni 200 zilitumika kununua vifaa katika kituo hicho.

Waziri Jaffo alimaliza kwa kusema kuwa Serikali itajenga vituo vyote vya afya Wilayani Biharamulo ili wananchi wote wapate huduma safi, pia alisema wakati Serikali ya Awamu ya Tano inaingia madarakani mwaka 2015 kulikuwa na Vituo vya Afya 115 tu lakini hadi sasa vimejengwa vituo 210 na tayari vituo 97 vimepewa fedha kujengwa, hayo ni mafanikio na mapinduzi makubwa katika Sekta ya Afya.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.