• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government KAGERA REGIONAL WEBSITE

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections/Units
      • Sections
        • Management Monitoring and Ispection
        • Infrastructure
        • Education
          • Primary Education
          • Secondary Education
          • Adult Education
          • Higher Education
          • Sports
          • Youth
        • Health
          • Health
          • social welfare
        • Administration And HR
        • Planning & Coordination
          • Planning
          • Statistics
          • Community Development
          • TASAF
        • Economic and Production
          • Irrigation Farming
          • Commerce and Industries
          • Fishing
          • Livestock
          • Natural Resources, Tourism & Environment
          • Co operative
          • Agriculture
        • Investment Indusrty and Trade
      • Units
        • ICT
        • Legal Unit
        • Finance and Accounts
        • Internal Audit Unit
        • Procurement Unit
        • Government Communication
  • Districts
    • Bukoba
      • Bukoba Leaders
    • Biharamulo
      • Biharamulo Leaders
    • Karagwe
      • Karagwe Leaders
    • Kyerwa
      • Kyerwa Leaders
    • Missenyi
      • Missenyi Leaders
    • Muleba
      • Muleba Leaders
    • Ngara
      • Ngara Leaders
  • District Councils
    • Bukoba Municipal Council
    • Bukoba District Council
    • Biharamulo District Council
    • Karagwe District Council
    • Kyerwa District Council
    • Missenyi District Council
    • Muleba District Council
    • Ngara District Council
  • Investment Opportunities
    • Tourism Attractions
    • Farming Opportunities
    • Agricultural Opportunities
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • Water Services
    • Agricultural Services
    • Farming Services
  • Publications
    • By Laws
    • Client Service Charter
    • Strategic Plan
    • Reports
    • Forms
    • Guidelines
    • News Letter
  • Media Center
    • Videos
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi (Kushoto) Akisaini Kitabu Katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera.

Posted on: February 19th, 2018

Waziri Lukuvi Asema Migogoro ya Ardhi Imepungua Kagera Asema Serikali Imejipanga Kukomesha Ujenzi Holela

Serikali katika Mkao wa Kagera yapunguza migogoro ya ardhi kwa kipindi cha miaka miwili ya Serikali ya Awamu Tano changamoto kubwa iliyobaki ni kupangilia miji na kuzuia ujenzi holela katika Halmashauri za Wilaya na Manispaa ya Bukoba.

Hayo yamesemwa leo Februari 19, 2018 na Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Wiliamu Lukuvi mara baada ya kuwasili Mkoani Kagera kwa ziara ya siku nne katika Wilaya za Bukoba (Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba na Manispaa ya Bukoa), Karagwe, Kyerwa na Ngara.

Mara baada ya kupokea taarifa ya Mkoa ihusuyo Wizara yake kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Waziri Lukuvi aliwapongeza watendaji katika mkoa kuendelea kutatua migogoro ya ardhi na kutozalisha migogoro mipya bali migogoro iliyopo ni ile iliyozalishwa kipindi cha nyuma kabla ya Serikali ya Awamu ya Tano haijaingia madarakani.

Waziri Lukuvi alisema kuwa Serikali iliamua kurasimisha maeneo ambayo tayari yalikuwa yamejengwa holela ili kupangilia miji lakini kuanzia sasa wananchi hawaruhusiwi kujenga holela na Watendaji wa Halmashauri hasa Maafisa wa Mipango Miji wanatakiwa kutoa Ramani za kila eneo kwa Watendaji wa Mitaa ili kuzuia ujengaji holela bila vibali vya ujezni vya Halmashauri husika.

“Kulikuwa na ucheleweshaji wa vibali vya ujenzi katika Halmashauri lakini kwa sasa Serikali imeamua kutoa kipengele cha vibali kupitishwa na Mabaraza ya Madiwani ili kuharakisha vibali vya ujenzi kutoka haraka kwa mwananchi anayetaka kujenga nyumba yake,” Alisistiza Waziri Lukuvi.

Katika kusisitiza suala hilo Waziri Lukuvi alisema kuwa Wataalamu wa Ujenzi, Mipango Miji na Mkurugenzi wanatakiwa kukaa na kupitia maombi ya vibali vya ujenzi na kutoa taarifa katika vikao vya Mabaraza ya Madiwani. Waziri Lukuvi alisema kuwa tayari Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI amesaini waraka wa kuondoa kifungu hicho ili vibali vipitishwe na Wataalam.

Katika hatua nyingine Waziri Lukuvi alitoa rai kwa wananchi wa Kagera kuwa kuna wananchi mashamba yao yapo katika miji lakini hawataki yapimwe ambapo alitoa karipio kali kwa wananchi hao na kusema kuwa mpangaji wa ardhi ni Halmashauri, kama Serikali ikihitaji ardhi hiyo itamfidia mwananchi husika na kutumia ardhi hiyo kama ilivyopangwa.

Pamoja na kutatua migogoro ya ardhi iliyoshindikana katikaHalmashauri za Wilaya zilizotajwa hapo juu Waziri Lukuvi pia atafuatilia suala la ulipaji wa kodi za ardhi katika maeneo atakayotembelea ili kona jinsi kodi hizo zinavyokusanywa na kuwahamasisha wananchi kulipa kodi hizo na Halmashauri kuchukua wajibu kikamilifu katika ukusanyaji.

Ikumbukwe kuwa katika Mkoa wa Kagera vimepimwa viwanja 2,897 kuanzia mwaka 2016 hadi kufikia sasa, aidha Halmashauri za Wilaya zote nane katika Mkoa wa Kagera zinaendelea na upimaji na kutao hati za viwanja.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • View All

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
More Videos

Quick Links

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Radio Stations in Kagera Region
  • Kagera Regional Commissioners Since Independence 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Related Links

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • National Bureau of Statistics (NBS)
  • Government of Tanzania Website
  • Open Data Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Postal Address: S.L.P 299 BUKOBA

    Telephone: 255 28 2220215/17

    Mobile:

    Email: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Hakimiliki

Copyright ©2017 GWF . All rights reserved.