• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

KAGERA YAWEKA MALENGO YA KUSAJILI WATOTO WALIO NA UMRI CHINI YA MIAKA MITANO KWA ASILIMIA 90

Friday 9th, May 2025
@Kagera

Katika kikao cha Mamlaka ya Vizazi na Vifo RITA Kagera yajiwekea malengo ya usajili wa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano  wenye stahiki za msingi na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa kupitia mpango maalumu wa usajili wa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano.

Akiitoa taarifa fupi Mariam Nkubwa, mratibu wa mkakati wa usajili wa watoto walio chini ya miaka mitano kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI wakati akiongea na viongozi mbalimbali katika ukumbi wa mkuu  wa Mkoa, Manispaa ya Bukoba amesema kuwa zoezi hilo linalenga kuwasajili watoto hao kwa kuwafuata katika maeneo yao huku akisisitiza  kuwa mpaka sasa ni asilimia 14.2 tu ya watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano waliosajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa mkoani Kagera.

Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, Ndg. Toba Nguvila amewataka  viongozi mkoani humo kutoa ushirikiano wa kutosha kwa maafisa wa RITA ili kuhakikisha kuhakikisha watoto wote waliokidhi vigezo wanasajiliwa.

Sambamba na hilo, amewaonya viongozi kufanya kazi zao kwa kuzingatia maadili ya kazi na kuepuka kulitumia zoezi hilo kama sehemu ya kujipatia kipato kwani zoezi hilo litatolewa la bure na atakayebainika kutoza pesa katika zoezi hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria.

"Sitegemei kiongozi yeyote mkoani Kagera kukwamisha zoezi hili kwa namna yoyote hile, tuhakikishe kila mtoto mwenye vigezo anapata haki yake ya kusajiliwa na kupewa cheti lakini pia nasisistiza suala la uahamiaji haramu lisiwekikwazo cha kukwamisha zoezi hili"ameeleza Ndg Nguvila

Ndg. Brenda Joshua Kileo,  meneja wa usajili na utambuzi kutoka mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA), alisema kuwa katika zoezi hilo watakuwa sambamba na maafisa wa RITA kuendelea kufanya utambuzi uhusani kwa ambao watakuwa hawajapata namba ya NIDA ili kuhakikisha wote wanaostahili wanapata namba hizo na ambao hawatakidhi vigezo watapewa fomu maalumu na wataalamu wa RITA itakayoenda uhamiaji ili kusaidia wazazi hao kusajili watoto wao.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa