• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

HAKUNA TENA UGONJWA WA MARBURG-WAZIRI UMMY

Imewekwa : June 2nd, 2023

Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Marburg ulio ripotiwa Mkoa wa Kagera katikati ya mwezi Machi, 2023 na kupelekea vifo vya watu sita. Leo tarehe 02.06.2023 Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ametoa taarifa kuwa Tanzania imepambana kuudhibiti ugonjwa huo na sasa Mkoa wa Kagera na Nchi ya Tanzania ni salama.

Amesema hayo wakati akizungumza na viongozi na wadau mbalimbali wa afya wakati wa hitimisho la mapambano dhidi ya ugonjwa huo, ameeleza kuwa ni zaidi ya siku 42 toka mgonjwa wa mwisho kupona ugonjwa wa Marburg hivyo Nchi imekidhi vigezo vya Shirika la Afya na kutangaza mwisho wa ugonjwa huo.

“Kutokana na ushirikiano wa wananchi, Serikali, Watumishi wa Idara ya Afya na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya Nchi, umepelekea kumalizika kwa ugonjwa huu, hivyo natangaza kuwa leo tarehe 02.06.2023 ugonjwa wa Marburg umeisha rasmi Mkoa wa Kagera,” ameeleza Mhe. Ummy

Aidha,amewashukuru wadau mbalimbali wa Afya wakiongozwa na Shirika la Afya Duniani kwa ushirikiano mkubwa walioutoa na kuhakikisha Watanzania na Dunia inalindwa dhidi ya ugonjwa wa Marburg.Na kuisisisitiza jamii kuendelea kuchukua tahadhari na kutoa taarifa pale kuna jambo la tofauti.

Akiwasilisha taarifa ya kitaalam, Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu ameeleza kuwa hadi kufikia tarehe 31.05.2023 watu waliopata maambukizi ya ugonjwa huo ni watu tisa, kati ya hao wagonjwa watatu walipona akiwemo daktari wa kituo cha Afya cha Maruku na wagonjwa sita walipoteza maisha akiwemo mtaalamu wa maabara wa kituo cha Afya cha Maruku

Ameendelea kueleza kuwa ufuatiliaji ufuatiliaji wa watu waliotangamana na wagonjwa wa Marburg ulifanyika kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba na Manispaa ya Bukoba,ambapo jumla ya watu 212 walibainika na kufanyiwa ufuatiliaji wa siku 21 kati yao ni watu wawili pekee ndio waliyoonesha dalili na baada ya kupimwa walibainika na maambukizi

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Kagera Ndg.Toba Nguvila ametoa ombi la kujengwa kwa kituo maalum cha kuwahudumia wagonjwa wa magonjwa ya mlipuko na kutokana na Mkoa wa Kagera kuwa mpakani hivyo kupelekea kukumbwa na magonjwa ya mlipuko ameomba Serikali kujenga vituo vya kutoa huduma ya dharura mipakani

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa