• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Wadau wa Ushirika Wakisikiliza kwa Makini Ufunguzi wa Jukwaa la Wadau wa Ushirika Mkoani Kagera Julai 18, 2017.

Imewekwa : July 18th, 2017

Wanaushirika Kagera Wapewa Changamoto ya Kufufua Ushirika Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa Kama Miaka ya Nyuma

Wadau wa Vyama vya Ushirika Mkoani Kagera wakumbushwa kuvifufua Vyama vya Ushirika ili kukuza uchumi pia kutumia fursa ya ushirika kuanzisha viwanda ili kuendana na Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano ya uchumi wa viwanda

Rai hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawilo katika mkutano wa Jukwaa la Wadau wa Ushirika lililoandaliwa Mkoani Kagera na kuwakutanisha wadau wa Ushiriki ili kujadili fursa za Ushirika na kuona jinsi ya kutatua changamoto zinazovikumba Vyama vya Ushirika ambapo Jukwaa hilo lilifanyika katika Hoteli ya Bukoba Coop Julai 18, 2017.

Katika hotuba yake ya ufunguzi wa  Jukwaa hilo la Wadau wa Ushirika Mkoani kagera Mkuu wa Mkoa Kijuu alikemea tabia ya baadhi ya viongozi wa Vyama vya Ushikia kuacha mara moja tabia ya ubadhirifu kwenye manunuzi mazao hasa kahawa ili Ushirika uweze kukua na kuinua uchumi wa wananchi pamoja na Mkoa kwa ujumla kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Pia aliwaagiza Maafisa Ushirika wote wa Mkoa wa Kagera kuhakikisha wanavisimamia Vyama vyote vya Ushirika hasa katika kutoa taarifa za mapato na matumizi na kudhibiti ubadhilifu katika vyama hivyo kwa kuzingatia sheria namba 6 ya mwaka 2013 pamoja na vi pengere vyake.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Kijuu aliwaasa wanachama wote wa Vyama vya Ushirika Mkoani Kagera kuhakikisha wanawachagua viongozi wenye maadili na maono ya kuendeleza Ushirika na sio viongozi walafi, ikiwa mwaka huu 2017 ni mwaka wa uchaguzi wa viongozi kwa Vyama vya Ushirika mkoani Kagera.

Mkuu wa Mkoa pia alivitaka Vyama vikuu viwili vya Ushirika Mkoani Kagera ambavyo ni Kager Co-operative Union 1990 Limited (KCU 1990 Ltd) na Karagwe Development Co-operative Union Ltd (KDCU Ltd) kuangalia upya vitega uchumi vyake kama mashamba, magari, maghara na uwekezji mwingine ambao hauna hati za umiliki kwani vimekuwa vikisababisha migogoro kwa wadau wegine ambapo vinatakiwa kuingiza kipato katika vyama hivyo ila badala yake havizalishi chochote.

Katika hatua nyingine Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Tanzania bara Bw. Tito B. Haule aliwaasa Wanaushirika wa Mkoa wa Kagera kuvisisimamia Vyama vyao vya Ushirika kwani wao ndio waamuzi wakuu na siyo Serikali bali Serikali ni msimamizi na mlezi wa Vyama hivyo.

Mkoa wa Kagera una jumla ya vyama vya ushirika 665, kati ya hivyo 393 vipo hai na 272 vimesinzia. Vyama vya Ushirika vya mazao (AMCOS) ni 230 na vina jumla ya wanachama 67,506 wenye jumla ya hisa 289,156. Pia Vyama vya Ushirika wa Akiba na mikopo (SACCOS) vina jumla ya wanachama 57,905 na vina Hisa za shilingi 1,517,369. Akiba za shilingi10,586,894  na Amana za shilingi 1,892,086.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa