• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Augustino Olomi

Imewekwa : April 25th, 2018

Kagera Vyombo Vya Ulinzi na Usalama Vyafanya Mazoezi ya Pamoja Kuendelea Kujiimarisha Kuwalinda Raia na Mali Zao

Vyombo ya Ulinzi na Usalama Mkoani Kagera vyafanya mazoezi ya pamoja ili kijiweka tayari na kushirikiana kwa pamoja katika kutekeleza jukumu moja kuu la kuwalinda raia na mali zao.

Mazoezi hayo yaliyofanyika katika Manispaa ya Bukoba Aprili 25, 2018 yameyashirikisha Majeshi ya Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto, Jeshi la Akiba na Jeshi la Wananchi Tanzania.

Akiongea na Waandishi wa Habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Augustino Olomi mara baada ya kuhitimisha mazoezi hayo katika Viwanja vya Gymkhana alisema kuwa ni mazoezi ya kawaida kwa Majeshina kitaalam yanaitwa (Route Match)

“Mkoa wa Kagera tumekuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi haya kila Jumamosi ya kila wiki kwa kushirikiana na wananchi lakini leo wananchi wapo kwenye shughuli zao  za uzalishaji, Majeshi kama unavyoyaona tumeshirikiana kufanya mazoezi ya pamoja kwani sote jukumu letu ni kulinda raia na malizao,” Alifafanua Kamanda Olomi

Aliongeza Kamanda Olomi kuwa Majeshi yakifanya mazoezi ya pamoja wanakuwa na utayari wa pamoja kupambana na vitendo ambavyo vinaweza kuhatarisha usalama wa raia na mali zao lakini pia na Askari katika mazoezi haya wanafahamiana kwa karibu jambo linaloleta ushirikiano mzuri katika kazi.

Aidha, Kamanda Olomi alitumia nafasi hiyo kuwatahadharisha wale wote wanaopanga kundamana au kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani siku ya maadhimisho ya Muungano tarehe 26 Aprili, 2018 kuwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera limejipanga vizuri kushughulika nao kikamilifu.

Kamanda Olomi alisisitiza kuwa mwananchi yeyote asidanganyike kwa kushawishiwa kuandamana na aliwataka wananchi hao kuendelea na shughuli zao za kawaida za baishara, kilimo au kutumia siku hiyo kupumzika kuliko kujihusisha kwenye vitendo ambavyo vinaweza kuwaletea matatizo.

Mazoezi ya pamoja ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoani Kagera yalianzia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera na kupitia katikati ya mji wa Bukoba kuelekea Kashai na yamehitimishwa katika Viwanja vya Gymkhana karibu na Bukoba Club.

Wito kwa wananchi wote hususani Manispaa ya Bukoba mnakaribishwa kila Jumamosi ya kila wiki kujumuika pamoja watumishi  kufanya mazoezi ya pamoja  kwaajili kuimarisha miili yetu, mazoezi hayo huanzia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa saa 12:00 Asubuhi na kumalizikia  katika viwanja vya Gymkhana saa 3:00 asubuhi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa