• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Kiwanda cha Kusindika Kahawa TANICA Kilichopo Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera

Imewekwa : November 21st, 2017

Mkoa wa Kagera Katika Kutekeleza Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania ya Viwanda

Mkoa wa Kagera ni miongoni mwa Mikoa yenye fursa nyingi na muhimu za uwekezaji kwa maendeleo ya ukuaji wa uchumi na ustawi wa kijamii. Mkoa unayo hali ya hewa nzuri, mvua za kutosha misimu miwili kwa mwaka, ardhi ya kutosha na yenye rutuba, vyanzo vya maji vya kutosha pamoja na fursa ya kijiografia ya kupakana na chini zote za Afrika Mashariki za Uganda, Rwanda, Burundi na Kenya kwa upande za Ziwa Victoria.

Mkoa wa Kagera unavyo viwanda vikubwa tisa (9), ambavyo mchango wake katika uchumi ni mkubwa kwenye ajira ya zaidi ya (1,050), mapato ya Serikali na huduma mbalimbali kijamii. Kagera Sugar ni kiwanda pekee cha Sukari katika Kanda ya Ziwa kilichopo Wilayani Missenyi na kinatoa ajira zaidi ya 5,000. Viwanda vya kuchakata minofu ya samaki vya Supreme Pearch Ltd kinachotoa ajira ya zaidi 300 kipo Nyamukazi Manispaa ya Bukoba, na Kagera Fish Co Ltd kinachotoa ajira ya zaidi 60 na kipo eneo la Kemondo Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.

Viwanda vingine ni viwanda vya kusindika kahawa ambavyo ni Amir Hamza (T) Ltd kinachotoa ajira ya zaidi 70 kipo Manispaa ya Bukoba, TANICA kinachotoa ajira ya zaidi 120 kipo Kastamu Manispaa ya Bukoba, Olam (T) Ltd kinachotoa ajira ya zaidi 250 kipo Wilayani Missenyi, BUKOP Ltd kipo Manispaa ya Bukoba, Kiwanda cha Chai Kagera kinachotoa ajira ya zaidi 200 kilichopo Maruku Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, na Kiwanda cha Maji cha Bunena kinachotoa ajira ya zaidi ya 50 na kipo Bunena Manispaa ya Bukoba.

Aidha, viwanda ambavyo ujenzi wake unaendelea ni pamoja na Kiwanda cha Maharage cha KADERES Plc Wilayani Karagwe, Kiwanda cha nyanya cha Victorius Edibles Ltd Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, na Kiwanda cha Maji, Juisi na Mvinyo cha MAYAWA Manispaa ya Bukoba. Viwanda hivi vinatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2018.

Mkoa wa Kagera tayari umeainisha na kutenga maeneo yenye ukubwa wa takribani hekta 57,000 kwa ajili ya uwekezaji na ujenzi wa viwanda. Vilevile, ili kuhakikisha fursa zilizopo zinatumika kikamilifu kwenye kila wilaya, uongozi wa mkoa umejiwekea Mkakati wa Wilaya Moja Bidhaa Moja Kiwanda Kimoja ili ndani ya muda mfupi kila wilaya walau iwe imejenga kiwanda kimoja kikubwa kwa kutumia rasirimali na fursa zilizopo kwa kushirikiana na Wadau wa sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya uchumi.

Katika kuendelea kutekeleza Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania ya Viwanda mkoa wa Kagera una mikakati ya kuendelea kujenga viwanda ambapo tayari umepata  Wawekezaji Wanne (4) walioonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vikubwa kama ifuatavyo;

GESAP Agro Farming Kiwanda cha Maziwa (Missenyi), KADERES Plc kiwanda cha Kahawa na Novath Mzee Kiwanda cha Maji (Muleba), ujenzi umeanza). Ben Build Investment Ltd kiwanda cha vifaa vya ujenzi (Karagwe). Mkoa unazidi kuwahamasisha Wawekezaji wote wa ndani na nje ya Mkoa kuja Kagera kujenga na kuwekeza katika viwanda kwani mazingira ni mazuri na watapata ushirikiano mkubwa  kutoka kwenye uongozi wa Mkoa katika ngazi zote.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa