• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

KWA PAMOJA SISI WATENDAJI WENU NA NYINYI WANANCHI TUINUE PATO LA MKOA WETU- RC MWASSA

Imewekwa : June 9th, 2023

Katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa fedha 2022/2023, Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwassa amewasihi Waheshimiwa Madiwani na Menejimenti kufanya utafiti katika vyanzo vinavyokusanya mapato makubwa ili kujiridhisha makusanyo yanayopatikana kama ni halisi huku akiweka nia ya kuinua pato la wananchi kwani Mkoa wa Kagera unazo fursa nyingi zinazowezesha kukuza uchumi.

Akizungumza katika Mkutano huo uliofanyika leo Juni 9, 2023 katika ukumbi wa ofisi za Halmashauri, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba kwa kupata Hati Safi na kueleza kuwa Mkoa wa Kagera ni miongoni mwa mikoa iliyopata hoja chache za ukaguzi hali inayoonyesha kuwa kazi kubwa imefanyika katika kuondoa hoja hizo.

“Kikao hiki ni mwendelezo wa agizo la Mheshimiwa Rais Dkt. Samia wakati akipokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/23 tarehe 29, Machi, 2023 ambapo alielekeza kila Taasisi ifanyie kazi hoja hizo na kuhakikisha hoja zote zinafungwa,” ameeleza Mhe. Mwassa

Ameendelea kueleza kuwa Serikali ilitoa agizo kwa kila Halmashauri kuhakikisha inakusanya si chini ya asilimia 85 kwa mwaka. Na kuelekeza kupitia vikao waje na mikakati itakayofanikisha mapato ya ndani yaongezeke. Sambamba na juhudi za makusudi ili mapato yote ya Halmashauri yakusanywe kwa njia ya kieletroniki.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mhe. Privatus Mwoleka ameeleza juu ya uhaba wa watumishi na kumuomba Katibu Tawala Mkoa kusimamia suala hilo na kuweka jitihada za makusudi za ufuatiliaji kwenye mamlaka husika. Jambo ambalo Katibu Tawala Mkoa Ndg. Toba Nguvila amelipokea na kueleza kuwa suala hili linafanyiwa kazi kadri watumishi wanavyoajiriwa.

Akisoma taarifa fupi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Fatina Laay ameeleza kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba imeendelea kuweka jitihada za dhati katika kuzuia na kupunguza hoja za ukaguzi  kwa miaka mitano kutoka hoja 108 mwaka 2018/19 hadi hoja 18 mwaka 2022/23.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa