• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

MAPATO YA SERIKALI YASIONDOKE~RC SHIGELA

Imewekwa : June 28th, 2023

MAPATO YA SERIKALI YASIONDOKE~RC SHIGELA

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe Martine Shigela amewataka wafanyabiashara wanaotumia kituo cha forodha cha mpaka wa Mutukula kuwa wavumilivu na kuendela kufuata utaratibu wa ulipaji wa kodi unaotakiwa kwenye mazao na bidhaa, wakati Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi na Uongozi wa Mkoa wakipitia sheria ndogo za Halmashauri na kuja kuweka makubaliano ya ukusanyaji wa tozo hizo.

Akizungumza na wafanyabiashara hao, leo tarehe 28.06.2023 baada ya kukagua mpaka wa Tanzania na Uganda eneo la Mutukula ameeleza kuwa kutokana na sintofahamu kati ya Wafanyabiashara na Halmashauri ya Missenyi ni vema Mkurugenzi na Afisa Biashara wakatoa ufafanuzi kwa Kamati ya Usalama ya Mkoa ili kuwa na uelewa wa pamoja kama viongozi na kisha kuja kutoa mrejesho na elimu kwa wafanyabiashara hao.

“Nimefarijika sana kuona wafanyabiashara wa Wilaya ya Missenyi mko tayari kuchangia Halmashauri. Kwahiyo Halmashauri itakapoleta mrejesho ni vizuri mkakaa kwa pamoja na kukubaliana kuwa mnauwezo wa kuchangia mapato ya Serikali kwa viwango hivi ili mapato ya Serikali yasiondoke”, ameeleza Mhe. Shigela

Ameendelea kueleza kuwa Halmashauri ikitoa kabisa ushuru, Halmashauri haitaweza kujiendesha na haitaweza kutoa huduma kwa wananchi. Hivyo ni vema ukawekwa utaratibu ambao Halmashauri itapata mapato na wananchi wakafanya biashara bila kuwa na kikwazo chochote

Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Missenyi, Ndg. Bakuza Hassan ameeleza kuwa tozo zinazotozwa hawazielewi,ushuru ni mkubwa ukilinganisha na maeneo mengine na Halmashauri haitoi elimu ya kutosha juu ya tozo hizo ili kuwapa uelewa wafanyabishara hao.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Ndg. Toba Nguvila ameeleza kuwa kutokana na agizo la Mheshimiwa Rais kuruhusu mazao kuendelea kusafirishwa nje ya Nchi kwa masharti ya mfanyabiashara awe amekidhi vigezo na kutekeleza taratibu zote za vibali vinavyotakiwa uongozi umefika mpakani hapo ili kuona shughuli za kiutendaji na kupokea changamoto za wafanyabiashara zinazotokana na agizo hilo.

Katika ziara hiyo Mhe. Shigela amezungumza na watumishi wa kituo hicho na kukagua eneo la mpaka kati ya Tanzania na Nchi ya Uganda.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa