• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

Imewekwa : August 24th, 2022

Ikiwa ni siku ya pili Agosti 24, 2022 tangu kuanza kwa zoezi la kuhesabu watu, la Sensa ya Watu na Makazi, Mkoa wa Kagera umepokea magari matano kutoka Ofisi ya Takwimu ya Taifa kwa ajili ya kusaidia katika zoezi hilo kwa kurahisisha kufika kwa urahisi na kwa wakatimaeneo yenye changamoto

Akizungumza mara baada ya kupokea magari hayo, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Albert Chalamila alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu na kupokea hitaji la Wanakagera kuhusu uhaba wa magari katika kukabiliana na changamoto zinazoweza kujitokeza wakati wa zoezi la Sensa na kuupa kipaumbele Mkoa wa Kagera kwa kutoa magari hayo matano yanayokwenda kwenye Wilaya kwa ajili ya shughuli za ufuatiliaji wa zoezi hilo

“Tumeomba magari haya ili zoezi la sensa lisikwame pale inapotokea changamoto katika Halmashauri, tunazo Halmashauri nane na Wilaya saba,leo tunakabidhi magari haya matano ambayo yatakwenda kwenye Wilaya kufanya kazi ya ufuatiliaji ili Mkoa wetu upate takwimu sahihi kuhusiana na Watu na Makazi itakayowezesha kupanga mipango sahihi ya Maendeleo”, alieleza Mhe. Chalamila

Mkuu wa Mkoa Mheshmiiwa Chalamila aliendelea kueleza kuwa siku ya Agosti 23, 2022 wananchi walionesha mwitikio mzuri kuhusu kuhesabiwa aidha, rai kwa wale ambao wanafanya mizaha kwenye mitandao ya kijamii kuwa zoezi hilo si zoezi la utani bali ni  zoezi lenye manufaa makubwa kwa Taifa la Tanzania kupata takwimu sahihi. Pia alisisitiza wananchi kuendelea  kujitokeza kuhesabiwa kwani inawezekana Mkoa wa Kagera hauna miundombinu ya kijamii mizuri kutokana na kutokuwa na takwimu sahihi ,hivyo kwa kuhesabiwa Serikali inaenda kupata takwimu sahihi na kuleta maendeleo yanayostahili Kagera.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ndg. Toba Nguvila alieleza kuwa kutokana na jografia ya Mkoa wa Kagera, yapo baadhi ya maeneo ni magumu kufikika kirahisi. Hivyo magari yaliyotolewa yatasaidia kufikaka kirahisi na kwa wakati. Pia alimshukuru Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hitaji hilo ambalo liliwasilishwa na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa kuomba magari 15 kwa ajili ya kusaidia kwenye zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ili zoezi hilo liweze kufanikiwa kwa ufanisi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa