• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

Imewekwa : August 23rd, 2022

Mkuu wa Mkoa Bw. Albert John Chalamila aendelea na  ziara ya kujitambulisha na kukagua miradi ya maendeleo, kutembelea na kuongea na Makarani wa Sensa katika Halmashauri za Wilaya za Ngara na Biharamulo Mkoani Kagera.


Mkuu wa mkoa Chalamila akiwa Wilayani Biharamulo Agosti 16, 2022 alitembelea mradi wa maegesho ya magari makubwa (Malori ya mizigo) Nyakanazi uliojengwa kwa gharama ya shilingi bilioni... na kuongea na wananchi wa eneo hilo ambapo amewahaidi wananchi hao kutatua changamoto ufinyu wa ardhi ili wapate maeneo ya kilimo na malisho ya mifugo yao.


Aidha, Mkuu wa Mkoa Chalamila alitembelea vituo vya mafunzo ya Makarani wa Sensa na kuongea na Makarani hao kwa kuwaasa kuzingatia mafunzo wanayopatiwa na wakufunzi ili  muda utakapofika Agosti 23, 2022 watekeleze jukumu lao kwa umakini, usiri na uzalendo wa hali ya juu ili kupata takwimu sahihi za sensa kwa kwa mkoa wa Kagera kwa ajili ya  maendeleo ya taifa la Tanzania.


Katika ziara hiyo pia Mkuu wa Mkoa Chalamila alikutana na kuongea na Madiwani na watumishi wa Halmashauri ya  Wilaya ya Biharamuo na kuwaasa kufanya kazi kwa ushirikiano hasa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi na watumishi kupendana na  kutunza siri za Serikali katika maeneo yao ya kazi.


"Mimi huwa nawashangaa baadhi ya Madiwani utasikia wanasema sisi hatumtaki mtumishi fulani au Mkurugenzi wa Halmashauri na wakati mwingine tunapokuwa na Viongozi wa kitaifa Diwani anasimamishwa badala ya kusemea maendeleo ya wananchi wake yeye anatumia muda kusema simtaki Mtendaji wa Kata, huo siyo uongozi bali uongozi ni kurekebishana sisi wenyewe ndani". Alisistiza  Mkuu wa mkoa Chalamila


Akihitimisha ziara yake Wilayani Biharamulo Mkuu wa Mkoa Chalamila alitembelea na kukagua mradi wa maji Biharamulo mjini uliofikia aslimia 98 ya utekelezwaji na uliojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 450,234,0000 na Mkandarasi (Nakatech Construction Company Ltd) mbapo aliagiza mradi huo kukamilika kwa asilimia 100  kwa muda uliopangwa Septemba 15, 2022 na kuanza kutoa huduma ya maji kwa wananchi.



 

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa