• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Kanali Denice Mwila Kulia Akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Kanali Shaaban Lissu Mwenge wa Uhuru

Imewekwa : April 12th, 2018

Mwendelezo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoani Kagera Mwaka 2018

Mwenge wa Uhuru waendelea na mbio zake Mkoani Kagera ambapo tayari Mwenge huo umekimbizwa katika Halmashauri tano za Muleba, Bukoba, Bukoba Manispaa, Missenyi na Kyerwa kati ya Halmashauri nane za Mkoa wa Kagera, aidha, tayari miradi 44 yenye thamani ya shilingi 6,309,492,560.70 imetembelewa, kukaguliwa, kuzinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi.

Miradi hiyo 44 ni kati ya miradi 65 ya mkoa mzima  wa Kagera itakayopitiwa na Mwenge Uhuru wa mwaka huu 2018. Thamani ya miradi hiyo 44 shilingi bilioni 6,309,492,560.70 ni kati ya shilingi bilioni 12,385,330,354 za miradi yote katika Mkoa kwenye Halmashauri za Wilaya.

Akito ujumbe wa Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2018 Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Charles F. Kabeho katika Halamashauri za Wilaya ambazo tayari zimepitiwa na Mwenge wa Uhuru aliwasistiza wananchi kuwekeza katika Elimu kwa watoto wao ili kuhakikisha watoto hao wanapata Elimu bora kwa manuaa ya taifa na mkoa wa Kagera hapo baadae.

“Serikali imetoa na inaendelea kutoa  fedha nyingi kuhakikisha wanafunzi wa darasa la kwanza hadi kidato cha nne wanasoma bure, lakini Serikali kutoa fedha hizo hakujazuia majukumu ya wazazi katika kuhakikisha watoto wao wanapata Elimu bora” Alisisitiza Kiongozi wa Mbio za mwenge 2018 Charles Kabeho.

Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge aliongeza kuwa wazazi wanatakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata chakula shuleni kulingana na Waraka wa Serikali unavyoelekeza. Pia Wazazi wanatakiwa kuwanunulia watoto wao sare za shule, kuwalipia nauli za kwenda shule na kuhakikisha watoto wana vifaa vyote vya shule kama madaftari na kalamu.

Katika Hatua nyingine Kiongozi wa Mbio za Mwenge aliwasisitiza wananchi wa mkoa wa Kagera kuachana na upikaji wa gongo na kusisitiza kuwa gongo ni mojawapo ya dawa za kulevya ambazo hazistahili kutumika katika jamii.

Pongezi, pia aliupongeza mkoa kwa kupambana na utoro wa wanafunzi shuleni kwamba mkoa huu unajithidi kuhakikisha watoto wanahudhuria masomo yao shuleni lakini alisisitiza uongozi wa Mkoa kuongeza juhudi ili kufuta suala la utoro shuleni.

Mwenge wa Uhuru ulipokelewa Mkoani Kagera Aprili 8, 2018 na tayari umekimbizwa katika Halmashauri za Wilaya za Muleba, Bukoba, Bukoba Manispaa, Missenyi na Kyerwa. Aidha, Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa katika Halmashur za Karagwe, Ngara na Biharamulo na utakabidhiwa Mkoa wa Kigoma tarehe 16 Aprili, 2018.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa