• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mwalimu Akiwa Darasani Anaendelea na Jukumu Lake la Ufundishaji Mkoani Kagera

Imewekwa : June 5th, 2018

Maagizo Sita ya Mkuu Wa Mkoa wa Kagera Kuurudisha Mkoa Katika Enzi za Nshomile

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu atoa maagizo makuu sita kuhakikisha kiwango cha Elimu kinaboreka zaidi na kuufanya mkoa huo unaongoza tena katika Sekta ya Elimu kama ulivyofahamika hapo awali ambapo uliitwa Mkoa wa “Nshomile” (Mkoa wa wasomi).

Maagizo hayo yalitolewa na Mhe. Kijuu katika kikao cha Wadau cha nusu mwaka cha kutathmini mwenendo wa Elimu Mkoani Kagera kilichofanyika Wilayani Muleba Juni 1, 2018 wakati matatizo makubwa yanayoikwamisha elimu ni pamoja na  utoro wa wanafunzi na mimba shuleni.

Katika kikao hicho Afisa Elimu Mkoa Bw. Aloyce Kamamba alitoa takwimu za mimba shuleni kwa miaka mitano kuanzia 2014 hadi mwaka huu 2018 ambapo jumla ya wananfunzi waliopata mimba kwa kipindi hicho  ni 231. Wanafunzi 41 Shule za Msingi na wanafunzi 190 Shule za Sekondari.

Aidha, Wadau wa Elimu katika kikao hicho walibainisha kuwa pamoja na sababu nyinginezo zinazowafanya wanafunzi wawe watoro shuleni lakini pia kuna tatizo la umbali kwa wanafunzi hao jambo linalowafanya wasafiri mwendo mrefu kuitafuta elimu mbali na makazi yao.

Baada ya kujadili kwa kina Mhe. Kijuu alitoa Maagizo Makuu sita ili kuhakikisha changamoto zote zinatatuliwa mara moja. Agizo la kwanza, Wakuu wa Wilaya kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama wadhibiti utoro wa wanafunzi shuleni kwa kila Wilaya na Kuchukua hatua kwa wanafunzi watoro.

Pili, Wakuu wa Wilaya kwa kushirikiana na Wazazi waweke mpango madhubuti wa wanafunzi kupata chakula au uji shuleni ili waweze kumudu vyema masomo yao wakiwa wameshiba. Tatu, Wakuu wa Wilaya kwa kushirikisha wazazi na wadau wa Elimu kwenye Wilaya zao wajenge mabweni katika Shule za Sekondari ili wanafunzi wa kike waishi karibu na shule na kupunguza vishawishi njiani vinavyowafanya wapate mimba.

Nne, Vikao vya Wadau wa Elimu vifanyike kila Wilaya ili kujadili changamoto mbalimbali zinazoitatiza Sekta ya Elimu na utatuzi wa changamoto hizo ziwasilishwe kwenye kikao cha Wadau wa Elimu cha Mkoa. Tano, Madarasa ya Mitihani (Darasa la Nne na Saba Shule za Msingi,  Kidato cha Pili na Nne kwa Sekondari) yafanye mitihani ya mazoezi kila siku asubuhi ili wanafunzi wauzoee mtihani.

Mwisho, Mkuu Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu alisisitiza kila Wilaya kufanya vikao vya  tathmini vya Wadau wa Elimu ili kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri katika masomo yao na Mkoa wetu wa Kagera kurudi katika enzi zake za Nshomile.

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa