• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mwananchi Bw. Alawi Kaboyo Akijitolea Damu Kuokoa Maisha ya Akinamama Wajawazito na Wananchi Wenye Uhuhitaji wa Damu Mkoani Kagera

Imewekwa : December 13th, 2017

Wadau Mkoani Kagera Wamuunga Mkono Mkuu wa Mkoa Upatikanaji wa Damu Katika Maadhimisho ya Wiki ya Ukusanyaji wa Damu

Wadau mbalimbali katika Mkoa wa Kagera wamuunga mkono Mkuu wa Mkoa Meja Jenerali Mstaafu Salum  M. Kijuu Katika  kuadhimisha  wiki ya kilele cha ukusanyaji wa damu kuanzia tarehe 11 hadi 15 Desemba 2017  kwa kuchangia bidhaa mbalimbali kama maji, soda, bisukuti na ‘Ream’ za Karatasi ili kusaidia kukusanya damu kwaajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera.

Akitoa maelezo wakati Wadau hao wakikabidhi bidhaa hizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Desemba 13, 2017 Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera Dk. John Mwombeki  alisema kwa siku nne kuanzia tarehe 11 hadi 15.12.2017 ulifanikiwa kukusanya ‘unit’  900 za damu kwa kila Wilaya kukusanya ‘unit’ 100.

Aidha, Dk. Mwombeki alisema kuwa kutokana na umuhimu wa damu katika hospitali na maisha ya wananchi kupitia Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu waliwaomba wadau mbalimbali kuchangia bidhaa kama maji, soda, na bisukuti  ambavyo hutolewa kwa mwananchi ambaye hufika katika kituo kujitolea damu.

“Mkoa wa Kagera unakadiriwa kuwa na watu milioni 2.5 na kutokana takwimu za kisayansi  mahitaji ya damu unatakiwa kuwa na asilimia 1% hadi asilimia 2% za damu  kwa wananchi waliopo katika eneo lako kwa mana hiyo Mkoa wa Kagera unatakiwa kuwa na kiasi cha damu ‘unit’ 25,000 kwa mwaka kuweza kuwafikia wahitaji wa damu kama akina mama wajawazito, wananchi mbalimbali wanaopta ajali,” alifafanua Dk. Mwombeki.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu akiwashukuru Wadau alisema amefurahishwa sana na kitendo chao cha kuitikia wito wake wakusaidia upatikanaji wa damu katika mkoa wa Kagera ili kuokoa maisha ya wananchi wanaotakiwa kupata huduma ya damu katika vituo mbalimbali vya kutolea huduma kwenye mkoa.

Mhe.Kijuu alitoa wito kwa wananchi kuendelea kufika katika vituo  vya kutolea damu ili kujitolea damu na alisistiza kuwa kutoa damu kuna nyingi kwanza mwananchi anayetoa damu anapatiwa kadi ambapo anakuwa mwanancha na siku akipata tatizo la kiafya akahitaji damu anasaidiwa haraka sana kwasababu ni mwanachama.

Vilevile Mhe. Kijuu alitoa wito kwa wananchi kujitolea damu ambapo alisema kuwa hiyo ni fursa mojawapo ya mwananchi kuijua afya yake kupitia kujitolea damuambapo damu hiyo hupimwa na mwananchi huyo kupewa majibu  na kumfanya kujilinda na magonjwa mbalimbali kama UKIMWI, Kisukari na mengineyo.

Wadau waliotoa bidhaa ni pamoja na Kampuni ya TANICA katoni 50 za maji, Benki ya CRDB walitoa katoni 20 za maji, Benki ya NMB walitoa ‘ream’ karatasi za limu katoni nne kwaajili ya kuchukulia takwimu za wananchi wanaofika kutoa damu , bisukuti katoni 5, soda katoni 25 na maji katoni 25

Maadhimisho ya kilele cha ukusanyaji damu huadhimishwa kitaifa kila mwaka wiki moja kabla ya Siku Kuu za mwisho wa mwaka. Mwaka 2016 mkoa wa Kagera uliweza kukusanya kiasi cha ‘unit’ 7,000 tu badala ya ‘unit’ 25,000, wito kwa wananchi ni kujitolea kutoa damu ili kuokoa maisha ya wahitaji ili angalau kwa mwaka huu 2017 mkoa uweze kufikia nusu ya mahitaji kuokoa maisha ya wananchi wengi zaidi.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa