• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Naombeni Ushirikiano Wenu Wananchi wa Kagera Nami Nawahaidi Utumishi Uliotukuka >Mkuu wa Mkoa Mpya Mhe. Gaguti

Imewekwa : August 6th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti akabidhiwa rasmi Ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu katika hafla fupi iliyofanyiaka katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Agosti 6, 2018. Aidha, mara baada ya kukabidhiwa ofisi Mkuu wa Mkoa Mhe. Gaguti alimwapisha Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Rashidi Mohamed Mwaimu.

Mara baada ya kukabidhiwa Rasmi Ofisi Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti ambaye sasa anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera wa 23 tangu uhuru mwaka 1961 alimshukuru mtangulizi wake Mhe. Kijuu na kuhaidi kutomwangusha kwa juhudi zake alizozifanya katika kuleta maendeleo ya Mkoa wa Kagera.

“Nihaidi wananchi wa Mkoa wa Kagera Utumishi uliotukuka pia nikuhaidi Mzee wangu Mhe. Kijuu kuwa nikiwa hapa Mkoani Kagera kama Mkuu wa Mkoa nitahakikisha naendeleza juhudi zako zote ulizokuwa ukizifanya kuwaletea maendeleo wananchi wa hapa Kagera, kikubwa nitaomba ushirikiano mkubwa kutoka kwao,” Alifafanua Mhe. Gaguti.

Mambo Muhimu ambayo Mhe. Gaguti amehaidi kuyafanyia kazi yeye kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Kagera ni Kudumisha Ulinzi na Usalama wa Mkoa hasa katika mipaka na nchi jirani kwa kudhibiti magendo ya mazao hasa kahawa, kudhibiti uingizwaji wa mifugo katika Misitu ya Akiba na Hifadhi ambayo sasa Serikali imeyatangaza kuwa hifadhi za Taifa.

Pia Mhe. Gaguti alisema atahakikisha kuwa fursa ya kuwa na mipaka na nchi jirani inatumika ipasavyo ili kuinua uchumi wa Mkoa wa Kagera kwa wananchi kufanya biashara na nchi jirani ili kujiongezea kipato na kunufaika na mipaka ya nchi zinauzunguka Mkoa wa Kagera.

Naye Mkuu wa Mkoa aliyemaliza muda wake Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu mara baada ya kukabidhi ofisi rasmi akitoa neno la kuwaaga wananchi wa Kagera alisema kuwa anamshukura Rais John. Pombe Magufuli  kwa kumkubalia kustaafu ili akapumzike. Aidha, aliushukuru uongozi wa mkoa pamaoja na wananchi wa Kagera kwa ushirikiano waliompatia wakati akitekeleza majukumu yake na kuwaomba pia ushirikiano huo waendelee kumpatia Mhe. Gaguti.

Wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na Askofu Msaidi wa Jimbo Katoriki la Bukoba Methodius Kilaini wakimuaga Mkuu wa Mkoa Mstaafu Mhe. Kijuu walimtakia maisha mema katika mapumziko yake, aidha, walimshukuru kwa kuuvusha Mkoa wa Kagera katika kipindi kigumu hasa wakati wa Tetemeko la Ardhi lililotokea Septemba 10, 2016.

Naye Mkuu wa Wilya ya Kyerwa Rashidi M. Mwaimu mara baada ya kuapishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti alisema kuwa kazi yake kubwa ni kuhakikisha kuwa ananshirikiana na watendaji mbalimbali katika Wilaya ya Kyerwa kukuza na kusimamia vyanzo vya mapato ya Serikali ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mstaafu Kanali Mstaafu Shabani Lissu akiwaaga wananchi wa Mkoa wa Kagera na Wilaya ya Kyerwa alisema anamshukuru Rais wa Jmhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kwa kumteua na kutumikia wananchi wa Wilaya ya Kyerwa kwa miaka miwili akiwa Mkuu wa Wilaya hiyo.

Aidha, Kanali Mstaafu Shabani Lissu alisema kuwa amefikisha muda wake wa kustaafu kwa umri kwani amefikisha miaka 61 na alilitumika Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa miaka 36 na miaka miwili alitumika kama Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa na sasa amestaafu kwenda kupumzika katika majukumu ya Kiserikali.

Wananchi wa Mkoa wa Kagera tunakukaribisha Mkuu wa Mkoa Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Rashidi Mohamed Mwaimu kuja Kagera na Kyerwa kuchapa kazi kuwaletea wananchi wetu maendeleo. Kagera tunayo kaulimbiu yetu isemayo “Kagera, Kazi Amani na Maendeleo” karibuni tuidumishe kaulimbiu hiyo kwa vitendo.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa