• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

RC FATMA MWASSA AWAOMBA WANAKAGERA KUMPA USHIRIKIANO

Imewekwa : May 27th, 2023

Katika hafla ya makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika kati ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Albert Chalamila na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwassa, Mhe. Fatma Mwassa amewashukuru wana Kagera kwa mapokezi mazuri huku akiomba kwa pamoja kuungana na kushirikiana ili nafasi yake ya uongozi iwe na maana halisi.

Akizungumza na viongozi mbalimbali na watumishi katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais analeta fedha nyingi Kagera na anataka kuona mipango ile anayoiletea fedha inatekelezwa na kuleta matokeo.

“Mimi jukumu langu ninapopewa kijiti ni kuja kuyaendeleza yale ambayo mmeyaanzisha, sijaja kutunga jambo jipya bali kuungana na nyinyi kuyaendeleza yale mliyo yapanga ili kuyafanya yatokee na ikiwezekana yatokee kwa haraka zaidi,” ameeleza Mhe Mwassa

Sambamba na hayo amemshukuru Rais Dkt Samia kwa kumteua tena kuwa Mkuu wa Mkoa na kumpangia kituo cha Kagera. Kwani ni nafasi adhimu ambayo amempa kuja kuungana na wana Kagera kusukuma gurudumu la maendeleo ya Mkoa wa Kagera.

Kwa upande wake Mhe Albert Chalamila amshukuru sana Mungu kwa kuondoka Kagera akiwa na utambuzi. Na kuongeza kuwa wamekuja kwenye vituo vipya kwa matakwa ya Mheshimiwa Rais ambaye pia ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa imani yake kubwa juu yao kati yake na Mhe. Fatma Mwassa. Imani ya Mheshimiwa Rais kwao ni kubwa na lazima waendelee kuitumikia kama ambavyo yeye Rais amewaamini.

Aidha ameeleza kuwa kuondoka katika majukumu yaleyale pongezi zinakuwa nyingi lakini wewe yuleyule ukiondoka kwa kushushwa cheo maneno pia uwa ni mengi. Hivyo amemsihi Mhe. Fatma kutokuogopa kutekeleza majukumu ya msingi kwasababu kila jambo uwa halikosi jawabu.

Pia ameeleza kuwa viongozi wote wapo kwaajili ya kutekeleza maono ya Mheshimiwa Rais kwasababu uongozi ni uwezo wa kufafanua maono hivyo sisi tupo kwa ajili ya kufafanua maono ya Rais na maono ya Nchi

Katika kufafanua maono tunahitaji kuendeleza mshikamano na Umoja kwasababu katika umoja ndio tunaweza tukatafsiri maono ambayo Mheshimiwa Rais ameyaweka.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa